Kambi ya upinzani yamshukia Spika Anne Makinda
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imesema kauli ya kuudhi iliyotolewa bungeni juzi jioni na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Frederick Werema imekuzwa na kuyumba kwa Kiti cha Spika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Anne Semamba Makinda Spika wa Bunge
Anne Semamba Makinda alizaliwa Julai 26,1949 mkoani Njombe, zamani sehemu ya Iringa (atafikisha miaka 66, Julai mwaka huu).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s72-c/IMG_20150427_104647.jpg)
Spika Anne Makinda ziarani nchina China
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s1600/IMG_20150427_104647.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIQkBdoHvqA/VT4WAJHHSZI/AAAAAAAHTeA/YK2hdSFavw8/s1600/IMG_20150427_112753.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LhAZh_wmxa4/VT4WEVFT1DI/AAAAAAAHTeI/bul2RHOibUg/s1600/IMG_20150427_120550.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Mwigulu Nchemba amwonya Spika Anne Makinda
>Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwigulu Nchemba, amemwonya Spika wa Bunge, Anne Makinda kuacha kutumia vibaya fedha za Serikali kwa kuwapa posho wabunge kwa ajili ya kwenda kwenye michezo nje ya nchi.
10 years ago
Michuzi20 Nov
Wanawake wabunge Tanzania ni wachapakazi: Spika Anne Makinda
![mbunge](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/BXTwnG9NvviGj5JBgMYqcdu13v23DOKaAUhNREXJiQ6Zd-3d-oiCDj8jS1fcrKbQHMxDXPVUquyxvK4kqu16roOEiMiZHZyNPt6Ae6iGcE5eHdevEcG25-N83erchKiWsJCRsPGDDQ=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/11/mbunge.jpg)
9 years ago
Michuzi05 Sep
Wanawake wanateseka sana duniani - Spika Anne Makinda
![makina](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/i5G0nxd8dphlSvlY-K0_3f0n5g1bq8upcjqoEzDn1wSgvvOWyZkDln-GTGuvRd9s3B0PVld4-bpSnnJuy-yQ80t1ZXxDXHVyVAdP-yfvhQwe_YeHyaVCCslcDeeZgOvsFSF2arf91w=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/09/makina.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s72-c/IMG_20150427_104647.jpg)
SPIKA WA BUNGE MH. ANNE MAKINDA ZIARANI NCHINA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s1600/IMG_20150427_104647.jpg)
Spika akiwa katika ziara ya maeneo kadhaa ya kiteknolojia katika kampuni ya Huawei.Spika yuko nchini China kwa ziara ya namba ya kulifanya Bunge la Tanzania kuendeshwa kiteknolojia zaidi
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIQkBdoHvqA/VT4WAJHHSZI/AAAAAAAHTeA/YK2hdSFavw8/s1600/IMG_20150427_112753.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LhAZh_wmxa4/VT4WEVFT1DI/AAAAAAAHTeI/bul2RHOibUg/s1600/IMG_20150427_120550.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0466-768x512.jpg)
SPIKA MSTAAFU ANNE MAKINDA AWATAKA WANAWAKE KUACHA UOGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s640/DSC_0466-768x512.jpg)
Spika msaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amewataka wanawake nchini kuacha uoga katika wakati wa mapambano ya kutafuta fursa mbalimbali za kielimu, uchumi na siasa vinginevyo masuala ya usawa wa kijinsia itabaki kuwa ndoto.
Makinda amesema hayo jijini DODOMA katika Kongamano la uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambalo pamoja na mambo mengine limejadili utekelezaji wa maazimio ya ulingo wa Beijing yaliyowekwa miaka 25 iliyopita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcutGTjgzL0/Xlf8BzpC1sI/AAAAAAAA9IM/LVbjMEMKwDMG32B2FVbmjL1nlG3Us1JjwCNcBGAsYHQ/s640/IMG_6532AA.jpg)
Amesema wanawake...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dc5-60Y69cM/VGsWQNSmtKI/AAAAAAADNqU/zf-88SKkRhw/s72-c/FullSizeRender%2B(3).jpg)
MHE: SPIKA ANNE MAKINDA ASHIRIKI MKUTANO WA IPU UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dc5-60Y69cM/VGsWQNSmtKI/AAAAAAADNqU/zf-88SKkRhw/s1600/FullSizeRender%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I0fW1txbuMs/VGsWPAbgEYI/AAAAAAADNqI/V5p74UwWg9U/s1600/FullSizeRender%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-az9I71CyCTI/VGsWPxLQDgI/AAAAAAADNqM/mEQ1s3-i3lQ/s1600/FullSizeRender%2B(5).jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York
Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Dunia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O3r-Rqupdlc/VGqhxknn0wI/AAAAAAAGx-0/-NNsf9g52ac/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MHE.SPIKA ANNE MAKINDA ASHIRIKI MKUTANO WA IPU UMOJA WA MATAIFA
Na Mwandishi Maalum, New York Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Dunia wa Maspika wa Mabunge, jana jumatatu, imeanza mkutano wake wa pili na wa siku mbili unaofanyika hapa Umoja wa Mataifa. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda ( Mb) ni miongoni mwa washiriki wa Kamati hiyo ya Maandalizi ukiwahusisha maspika kadhaa kutoka mabunge mbalimbali duniani.Katika mkutano huo wa siku mbili ambao umeandaliwa na Inter-Parliamentary Union ( IPU),...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania