Wanawake wabunge Tanzania ni wachapakazi: Spika Anne Makinda
Joseph Msami katika mahojiano na spika Anne MakindaWakati kikao cha maandalizi ya mkutano wa maspika wa bunge kikimalizika mjini New York, spika wa bunge kutoka Tanzania Anne Makinda amesema wabunge wanawake nchini humo wamefanya kazi kubwa katika kuleta mabadiliko juu ya mtizamo wa watu kuhusu wanawake kwenye jamii.Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Mataifa spika Makinda ambaye kwa sasa ni rais wa bunge la nchi za kusini mwa Afrika SADC...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Nov
Wanawake wabunge Tanzania ni wachapakazi: Anne Makinda
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/BXTwnG9NvviGj5JBgMYqcdu13v23DOKaAUhNREXJiQ6Zd-3d-oiCDj8jS1fcrKbQHMxDXPVUquyxvK4kqu16roOEiMiZHZyNPt6Ae6iGcE5eHdevEcG25-N83erchKiWsJCRsPGDDQ=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/11/mbunge.jpg)
Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Mataifa spika Makinda ambaye kwa sasa ni rais wa bunge la nchi za kusini mwa Afrika SADC amefafanua wajibu wa bunge hilo. Kwanza anaanza kwa...
9 years ago
Michuzi05 Sep
Wanawake wanateseka sana duniani - Spika Anne Makinda
![makina](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/i5G0nxd8dphlSvlY-K0_3f0n5g1bq8upcjqoEzDn1wSgvvOWyZkDln-GTGuvRd9s3B0PVld4-bpSnnJuy-yQ80t1ZXxDXHVyVAdP-yfvhQwe_YeHyaVCCslcDeeZgOvsFSF2arf91w=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/09/makina.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0466-768x512.jpg)
SPIKA MSTAAFU ANNE MAKINDA AWATAKA WANAWAKE KUACHA UOGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s640/DSC_0466-768x512.jpg)
Spika msaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amewataka wanawake nchini kuacha uoga katika wakati wa mapambano ya kutafuta fursa mbalimbali za kielimu, uchumi na siasa vinginevyo masuala ya usawa wa kijinsia itabaki kuwa ndoto.
Makinda amesema hayo jijini DODOMA katika Kongamano la uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambalo pamoja na mambo mengine limejadili utekelezaji wa maazimio ya ulingo wa Beijing yaliyowekwa miaka 25 iliyopita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcutGTjgzL0/Xlf8BzpC1sI/AAAAAAAA9IM/LVbjMEMKwDMG32B2FVbmjL1nlG3Us1JjwCNcBGAsYHQ/s640/IMG_6532AA.jpg)
Amesema wanawake...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Anne Semamba Makinda Spika wa Bunge
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Mwigulu Nchemba amwonya Spika Anne Makinda
11 years ago
Mwananchi17 May
Kambi ya upinzani yamshukia Spika Anne Makinda
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s72-c/IMG_20150427_104647.jpg)
Spika Anne Makinda ziarani nchina China
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s1600/IMG_20150427_104647.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIQkBdoHvqA/VT4WAJHHSZI/AAAAAAAHTeA/YK2hdSFavw8/s1600/IMG_20150427_112753.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LhAZh_wmxa4/VT4WEVFT1DI/AAAAAAAHTeI/bul2RHOibUg/s1600/IMG_20150427_120550.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s72-c/IMG_20150427_104647.jpg)
SPIKA WA BUNGE MH. ANNE MAKINDA ZIARANI NCHINA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s1600/IMG_20150427_104647.jpg)
Spika akiwa katika ziara ya maeneo kadhaa ya kiteknolojia katika kampuni ya Huawei.Spika yuko nchini China kwa ziara ya namba ya kulifanya Bunge la Tanzania kuendeshwa kiteknolojia zaidi
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIQkBdoHvqA/VT4WAJHHSZI/AAAAAAAHTeA/YK2hdSFavw8/s1600/IMG_20150427_112753.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LhAZh_wmxa4/VT4WEVFT1DI/AAAAAAAHTeI/bul2RHOibUg/s1600/IMG_20150427_120550.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O3r-Rqupdlc/VGqhxknn0wI/AAAAAAAGx-0/-NNsf9g52ac/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
MHE.SPIKA ANNE MAKINDA ASHIRIKI MKUTANO WA IPU UMOJA WA MATAIFA