Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake wabunge Tanzania ni wachapakazi: Anne Makinda


Wakati kikao cha maandalizi ya mkutano wa maspika wa bunge kikimalizika mjini New York, spika wa bunge kutoka Tanzania Anne Makinda amesema wabunge wanawake nchini humo wamefanya kazi kubwa katika kuleta mabadiliko juu ya mtizamo wa watu kuhusu wanawake kwenye jamii.

Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Mataifa spika Makinda ambaye kwa sasa ni rais wa bunge la nchi za kusini mwa Afrika SADC amefafanua wajibu wa bunge hilo. Kwanza anaanza kwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wanawake wabunge Tanzania ni wachapakazi: Spika Anne Makinda


 Joseph Msami katika mahojiano na spika Anne MakindaWakati kikao cha maandalizi ya mkutano wa maspika wa bunge kikimalizika mjini New York, spika wa bunge kutoka Tanzania Anne Makinda amesema wabunge wanawake nchini humo wamefanya kazi kubwa katika kuleta mabadiliko juu ya mtizamo wa watu kuhusu wanawake kwenye jamii.Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Mataifa spika Makinda ambaye kwa sasa ni rais wa bunge la nchi za kusini mwa Afrika SADC...

 

9 years ago

Michuzi

Wanawake wanateseka sana duniani - Spika Anne Makinda


Picha: Joseph MsamiSpika wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema wanawake bado wanateseka takribani kote duniani, wengine wakiambulia vipigo na kadhia mbalimbali.Kandoni mwa mkutano wa Nne wa maspika wa mabunge duniani jijini New York spika Makinda amemueleza Joseph Msami wa idhaa hii, spika huyo wa kwanza mwanamke nchini Tanzania anasema lazima wanaume na jamii kwa ujumla wamkomboe mwanamke. Kwanza anaanza kueleza maudhui ya mkutano.KUSIKILIZA BOFYA...

 

5 years ago

CCM Blog

SPIKA MSTAAFU ANNE MAKINDA AWATAKA WANAWAKE KUACHA UOGA


  Spika msaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amewataka wanawake nchini kuacha uoga katika wakati wa mapambano ya kutafuta fursa mbalimbali za kielimu, uchumi na siasa vinginevyo masuala ya usawa wa kijinsia itabaki kuwa ndoto.
Makinda amesema hayo jijini DODOMA katika Kongamano la uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambalo pamoja na mambo mengine limejadili utekelezaji wa maazimio ya ulingo wa Beijing yaliyowekwa miaka 25 iliyopita.

  Amesema wanawake...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mh. Anne Makinda kutogembea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

pic 1

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamko la kutogombea Uspika Msimu huu hawapo pichani katika mkutano wake  uliofanyika leo jijini Dar es salaam.

pic 2

Waandishi wa habari wakifatilia kwa makini maelezo anayotoa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda hayupo pichani alipotoa tamko la kutogombea tena Uspika wa Bunge msimu huu.

pic 3

Spika wa bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda...

 

9 years ago

Michuzi

SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA-ANNE MAKINDA


Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa ofisi ndogo za Bunge  jijini Dar es Salaam kuhusiana na kuachana na uongozi katika siasa.
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda amejing'atua rasmi na kuachana na  uongozi katika siasa kutokana na kufanya kazi za Siasa kwa miaka 40.
ameyasema hayo alipokua akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es...

 

9 years ago

GPL

SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA - ANNE MAKINDA

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam kuhusiana na kuachana na uongozi katika siasa. Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda leo jijini Dar es Salaam. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne...

 

11 years ago

IPPmedia

Speaker of the National Assembly Anne Makinda


IPPmedia
Speaker of the National Assembly Anne Makinda
IPPmedia
The 629 members of the Constituent Assembly (CA) will be individually sworn in before they start discussing the draft constitution, after the committee's proposal for group oath was rejected. The exercise comes with a cost though. It will take at least three days, ...

 

10 years ago

IPPmedia

National Assembly Speaker, Anne Makinda


IPPmedia
National Assembly Speaker, Anne Makinda
IPPmedia
National Assembly Speaker Anne Makinda has confirmed receiving The Access to Information and The Media Services bills, 2015 but denied they were filed under a certificate of urgency. The Speaker was responding to a question by Chonga MP Haroub ...

 

10 years ago

Mwananchi

Anne Semamba Makinda Spika wa Bunge

Anne Semamba Makinda alizaliwa Julai 26,1949 mkoani Njombe, zamani sehemu ya Iringa (atafikisha miaka 66, Julai mwaka huu).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani