Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Machali kutogombea ubunge Kasulu Mjini

OLYMPUS DIGITAL CAMERANa Mwandishi Wetu, Kigoma
MBUNGE wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), ametangaza rasmi kwamba hatagombea tena ubunge wa jimbo hilo wakati wa uchaguzi mkuu mwaka huu.
Amesema ingawa alikuwa na nia ya kuendelea kuongoza jimbo hilo, amelazimika kuacha kwa kuwa baadhi ya viongozi wa chama chake wilayani Kasulu wanachafua jina lake bila sababu.
Machali alitangaza msimamo huo juzi mjini Kasulu alipohutubia mkutano wa hadhara.
“Kuna baadhi ya viongozi wachache wenye mawazo ya kijinga...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mfanyabiashara Davis Mosha atangaza kutogombea Ubunge jimbo la Moshi mjini

Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,mfanyabiashara Davis Mosha akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Penfold kwa lengo la kuwashukuru wana CCM waliompigia kura. Baadhi ya wana CCM waliohudhuria mkutano huo. Mfanyabiashara Davis Mosha akitangaza uamuzi wake wa kutojihusisha tena na siasa,uamuzi uliosababisha wanaccm kushindwa kujizuia na kuanza kuangua vilio. Baadhi ya wana CCM wakilia kwa uchungu mara baada ya Davis Mosha kutangaza...

 

10 years ago

Habarileo

Makinda kutogombea ubunge

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amesema amekuwa mbunge kwa miaka 40, hivyo ameamua kuwaachia wengine na kuwaonya wanawake wanaogombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu ujao kutolia au kulalamika jukwaani kwani ni udhaifu mkubwa.

 

11 years ago

GPL

MKUTANO WA DK SLAA WAVUNJIKA KASULU MJINI

Umati wa wananchi waliokusanyika kumsikiliza Dk. Slaa leo mjini Kasulu Uwanja wa Kiganamo kabla ya mkutano kuvunjika.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Ndesamburo atangaza kutogombea jimbo la Moshi Mjini, amuachia mikoba Meya Jafary Michael

Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakifuatili mkutano wa hadhara wa Chadema uliofanyika katika eneo la soko la Manyema. Katibu mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Moshi na Diwani wa Kata ya Kiusa , Stephen Ngasa akizungumza katika mkutano huo wa hadhara. Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akiwasili katika viwanja eneo la soko la Manyema akiwa ameongozana na Diwani wa kata ya Mji Mpya ,Abuu Shayo na Stephen Ngasa wa kata ya Kiusa. Mstahiki...

 

10 years ago

Vijimambo

UPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE

Kwa taarifa za mwanzo zunasena kuwa mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini na m/kiti BAVICHA Taifa, ndugu Patrobas Katambi inasemekana ametekwa muda mfupi uliopita na watu wasiojulikana na kunyang'anywa fomu zake za ubunge.
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.

Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi

Chanzo:...

 

10 years ago

Habarileo

Watano wajitokeza ubunge Arusha Mjini

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema.KINYANG'ANYIRO cha kuwania Ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini jana kilianza kwa mbwembwe baada ya wanachama watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujitokeza kuwania ubunge katika Jimbo hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Chadema wachuana ubunge Tabora Mjini

WANACHAMA watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wametangaza kuingia katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa katika Ukawa kuwania ubunge jimbo la Tabora Mjini.

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM kutwaa ubunge Moshi Mjini?

WAKATI kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu, zikipamba moto katika m

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani