MKUTANO WA DK SLAA WAVUNJIKA KASULU MJINI
![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hglWqs9DxzBwo5jlkrqwQXpITOSLFGLXT6fV-hE2C8BfrytTdgNu2EXjZjkTFrvjB096bDw2rdBpIh*4nqa4hx4/nyomi.jpg?width=650)
Umati wa wananchi waliokusanyika kumsikiliza Dk. Slaa leo mjini Kasulu Uwanja wa Kiganamo kabla ya mkutano kuvunjika.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXpWcO6GgCBd-XNKksu785gFGdwvbia*mI6Sisqa1A1UD7sjSY76Ol6zXfbcshtKrk7JT*pmMY-tGYJb-DsgfZZy/DKSLAA1.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MKUTANO WA DK SLAA IGUNGA MJINI
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Mkutano wa wakulima, wafugaji wavunjika
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Mkutano Mkuu wa ODM wavunjika
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Mkutano wa CUF wavunjika kabla ya muda kufika
Zanzibar. Chama cha Wananchi (CUF) kimedai wafuasi wa CCM walivuruga mkutano wa kampeni za mgombea wao wa urais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad uliofanyika juzi kwenye Viwanja vya Kwa-Binti Amrani, Wilaya ya Mjini Unguja. CUF wanadai […]
The post Mkutano wa CUF wavunjika kabla ya muda kufika appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Risasi zarindima BVR, mkutano ZEC wavunjika
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mkutano wa maji Goba wavunjika, watano mbaroni Kigogo
MKUTANO wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na wakazi wa Goba wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, ulivunjika jana kutokana na vurugu za wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Machali kutogombea ubunge Kasulu Mjini
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
MBUNGE wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), ametangaza rasmi kwamba hatagombea tena ubunge wa jimbo hilo wakati wa uchaguzi mkuu mwaka huu.
Amesema ingawa alikuwa na nia ya kuendelea kuongoza jimbo hilo, amelazimika kuacha kwa kuwa baadhi ya viongozi wa chama chake wilayani Kasulu wanachafua jina lake bila sababu.
Machali alitangaza msimamo huo juzi mjini Kasulu alipohutubia mkutano wa hadhara.
“Kuna baadhi ya viongozi wachache wenye mawazo ya kijinga...
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Siri yafichuka mkutano wa Dk. Slaa
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jPoYqsYrYKg/Vef2xYmh4zI/AAAAAAABUxw/MPa4FL3PTR8/s72-c/8.jpg)
UPDATES: WAFUASI WA DR.SLAA WA SHINYANGA MJINI WAHAMA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jPoYqsYrYKg/Vef2xYmh4zI/AAAAAAABUxw/MPa4FL3PTR8/s640/8.jpg)
Wakiwa na hasira baada ya kuisikiliza kwa kina hotuba ya Dr Slaa jana vijana hao wameandamana na kukusanyika katika ofisi za chama hicho wakimshutumu vikali mwenyekiti wao Taifa Freeman Mbowe kwa kukiuza chama kwa Fisadi lowasa na kusababisha kuwaengua viongozi wa juu wa...