Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano wa wakulima, wafugaji wavunjika

>Wakati Jeshi la Polisi likilazimika kufyatua mabomu ya machozi kuwatawanya watu, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Benedict Ole Nangoro, ametuhumiwa kuchochea mgogoro wa wakulima na wafugaji Wilayani Kiteto mkoani Manyara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkutano Mkuu wa ODM wavunjika

Mkutano Mkuu wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM umevunjika baada ya kutokea vurugu baina ya pande mbili zilizokuwa zikitofautiana ndani ya chama hicho.

 

11 years ago

GPL

MKUTANO WA DK SLAA WAVUNJIKA KASULU MJINI

Umati wa wananchi waliokusanyika kumsikiliza Dk. Slaa leo mjini Kasulu Uwanja wa Kiganamo kabla ya mkutano kuvunjika.…

 

10 years ago

Mwananchi

Risasi zarindima BVR, mkutano ZEC wavunjika

Wakati watu watano wakijeruhiwa, wawili kwa kupigwa risasi, kwenye uandikishaji wa wapigakura eneo la Makunduchi, mkutano baina ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar na wadau umevunjika kutokana na mzozo wa mgwanyo wa majimbo.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mkutano wa CUF wavunjika kabla ya muda kufika

Zanzibar. Chama cha Wananchi (CUF) kimedai wafuasi wa CCM walivuruga mkutano wa kampeni za mgombea wao wa urais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad uliofanyika juzi kwenye Viwanja vya Kwa-Binti Amrani, Wilaya ya Mjini Unguja. CUF wanadai […]

The post Mkutano wa CUF wavunjika kabla ya muda kufika appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Habarileo

Mkutano wa maji Goba wavunjika, watano mbaroni Kigogo

Naibu Waziri wa Maji, Amos MakallaMKUTANO wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na wakazi wa Goba wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, ulivunjika jana kutokana na vurugu za wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Michuzi

WAKULIMA NA WAFUGAJI CCM

Na Joachim Mushi, Dodoma.MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu amesema Serikali itakayoundwa na chama hicho endapo itashika dola katika Uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015 itahakikisha inapima ardhi yote ya vijiji pamoja na kuainisha mipaka ili kukomesha migogoro ya ardhi. 
 Bi. Suluhu ametoa kauli hiyo alipokuwa akinadi ilaya ya CCM katika Majimbo mawili tofauti ya Kongwa na Chilonwa Mkoa wa Dodoma ikiwa ni mwendelezo wa ziara zake za kufanya kampeni...

 

11 years ago

Habarileo

Wakulima, wafugaji wapigana Same

KUMEZUKA mapigano baina ya wafugaji na wakulima katika kijiji cha Jiungeni Lolokai, kata ya Ruvu wilayani Same na tayari wakulima wanne wamejeruhiwa vibaya na silaha za jadi, na mmoja kukimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa matibabu zaidi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mapigano ya wakulima, wafugaji yakomeshwe

Uhai wa Mtanzania mmoja umepotea katika Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro. Ni kutokana na mapigano kati ya wakulima na wafugaji. Katika mapigano hayo, watu wengine wanne akiwamo askari, walijeruhiwa huku zaidi ng’ombe 72 wakiuawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani