Mkutano wa CUF wavunjika kabla ya muda kufika
Zanzibar. Chama cha Wananchi (CUF) kimedai wafuasi wa CCM walivuruga mkutano wa kampeni za mgombea wao wa urais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad uliofanyika juzi kwenye Viwanja vya Kwa-Binti Amrani, Wilaya ya Mjini Unguja. CUF wanadai […]
The post Mkutano wa CUF wavunjika kabla ya muda kufika appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Mkutano wa wakulima, wafugaji wavunjika
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Mkutano Mkuu wa ODM wavunjika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hglWqs9DxzBwo5jlkrqwQXpITOSLFGLXT6fV-hE2C8BfrytTdgNu2EXjZjkTFrvjB096bDw2rdBpIh*4nqa4hx4/nyomi.jpg?width=650)
MKUTANO WA DK SLAA WAVUNJIKA KASULU MJINI
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Risasi zarindima BVR, mkutano ZEC wavunjika
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mkutano wa maji Goba wavunjika, watano mbaroni Kigogo
MKUTANO wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na wakazi wa Goba wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, ulivunjika jana kutokana na vurugu za wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
11 years ago
MichuziMBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nH5J27ID5U0/UwNj8gysPSI/AAAAAAAFNzc/f8n047o4J7U/s72-c/1+(1).jpg)
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Coronavirus: Je, virusi vinaweza kukaa kwa muda gani katika vitu kabla kusababisha maambukizi?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cwmbHT58lMc/XpatbGYzeDI/AAAAAAALm_o/Hvs9BdltRbIm4rPCvhSCaK_GxoxEcRPLACLcBGAsYHQ/s72-c/7066cc2d-7b52-427b-a960-1944637a0e26.jpg)
WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA
Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...