Kiongozi wa DA kutogombea uchaguzi ujao
Kiongozi cha chama cha upinzani nchini Afrika Kusini Helen Zille amesema hatagombea kwenye uchaguzi ujao wa chama hicho
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Utafiti kuhusu uchaguzi ujao ni halisi?
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Uchaguzi ujao na marufuku ya wanamgambo wa vyama
ZIMEBAKI siku takribani 90 kabla ya Uchaguzi Mkuu utakaowawezesha Watanzania kupiga kura.
10 years ago
Habarileo19 Jun
Ugawaji wa majimbo ya uchaguzi mwezi ujao
UGAWAJI wa majimbo mapya ya uchaguzi yanatarajia kutangazwa mapema mwezi ujao na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLfY*yT1hcNmqrp2lDcjTysGXMHBywg5zjOQkNnpbZAuls2znKn5OK5fLDLpQNzD66Gf1S3R9EwhuUGlLd-V00q/jusssa.jpg?width=650)
MBUNGE SELEMANI SAID JAFO ASIYEHOFIA UCHAGUZI UJAO
9 years ago
Mwananchi16 Sep
CCM: Tutashinda uchaguzi ujao kwa asilimia 69
10 years ago
Mwananchi16 Dec
NEC kusimamia uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Kauli za maaskofu zina mwangwi uchaguzi mkuu ujao
RAIS wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein juzi walipokea Katiba pendekezwa iliyopitishwa na Bunge Maalum kwenye sherehe kubwa zilizofanyika kwenye uwanja wa...