Kafulila ’apigwa dafrao’ jina la Zitto
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe juzi jioni alijikuta akishangiliwa katika mkutano uliokuwa ukihutubiwa na mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa licha ya baadhi ya wazungumzaji katika mkutano huo kutoa maneno ya kumponda Zitto.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Zitto, Kafulila washambuliana
*Watuhumiana kwa wivu wa kisiasa, ushirikina
*Daraja la Kikwete Lawatesa
NA MWANDISHI WETU
WANASIASA wawili maarufu hapa nchini ambao wamekuwa na uhusiano wa kikazi na binafsi, wamefarakana.
Wanasiasa hao, Zitto Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na David Kafulila aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, kila mmoja anamshutumu mwenzake kwa kuwa na jicho la wivu wa kisiasa na kufikia kushambuliana kwa maneno makali kwenye mitandao ya kijamii.
Vita hiyo ya maneno kwenye mitandao ya kijamii...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
KATIBU MKUU NISHATI NA MADINI AWASHAMBULIA ZITTO, KAFULILA
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Dafrao ya mgawo na tambo za Rambo
11 years ago
Habarileo14 Jul
Kafulila kizimbani
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni 310.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s72-c/download+(1).jpg)
IPTL VS KAFULILA
![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s1600/download+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a0paUbdf0yk/U8uveFNKgKI/AAAAAAAF4BU/-q7UbMw2l8Y/s1600/download+(2).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Kafulila aivimbia IPTL
SIKU moja baada ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kueleza kuwa imemfungulia kesi ya madai ya sh bilioni 310 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila...
9 years ago
Habarileo29 Oct
Kafulila aanguka ubunge
BAADA ya mvutano, hatimaye matokeo ya jimbo la uchaguzi la Kigoma Kusini, wilayani Uvinza mkoa wa Kigoma yametangazwa ambapo mbunge aliyekuwa anatetea jimbo hilo, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameanguka.
9 years ago
Suit Over Escrow Remarks05 Oct
Kafulila faces 100m/
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and two other plaintiffs have filed a suit against the Member of Parliament (MP) for Kigoma South constituency under NCCR Mageuzi, Mr David Kafulila, demanding 100m/- compensation for allegedly issuing ...
11 years ago
Habarileo28 Jun
Makinda- Kafulila mchokozi
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amesema Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ndiye aliyemchokoza kwa makusudi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema naye akajikuta akipandwa na hasira na kumuita Mbunge huyo tumbili.