Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kafulila ’apigwa dafrao’ jina la Zitto

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe juzi jioni alijikuta akishangiliwa katika mkutano uliokuwa ukihutubiwa na mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa licha ya baadhi ya wazungumzaji katika mkutano huo kutoa maneno ya kumponda Zitto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Zitto, Kafulila washambuliana

mtz1*Watuhumiana kwa wivu wa kisiasa, ushirikina

*Daraja la Kikwete Lawatesa

 

NA MWANDISHI WETU

WANASIASA wawili maarufu hapa nchini ambao wamekuwa na uhusiano wa kikazi na binafsi, wamefarakana.

Wanasiasa hao, Zitto Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na David Kafulila aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, kila mmoja anamshutumu mwenzake kwa kuwa na jicho la wivu wa kisiasa na kufikia kushambuliana kwa maneno makali kwenye mitandao ya kijamii.

Vita hiyo ya maneno kwenye mitandao ya kijamii...

 

11 years ago

GPL

KATIBU MKUU NISHATI NA MADINI AWASHAMBULIA ZITTO, KAFULILA

SAKATA linalohusu kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), limechukua sura mpya baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, kuwashambulia kwa maneno makali, wabunge wawili Zitto Kabwe wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) na David Kafulila wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi). Maswi ametumia maneno makali kwa kuyarudia, akikejeli nyaraka zinazotajwa kuwa ni ushahidi wa jinsi IPTL...

 

10 years ago

Mwananchi

Dafrao ya mgawo na tambo za Rambo

Mmmmmh! Yaani sina budi kuwasifu waheshimiwa wanene wetu, maana kweli akili yao inazidi ya kwetu. Hebu fikiria. Walipotuambia kwamba mgao itakuwa historia, tulijua maana yake ni kwamba hakutakuwa na mgawo wa umeme tenda. Kumbe walikuwa wanamaanisha kwamba watafanya mgao wa kihistoria ndani ya marambo.

 

11 years ago

Habarileo

Kafulila kizimbani

KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni 310.

 

11 years ago

Michuzi

IPTL VS KAFULILA

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi)Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Pan Africa Power Solutions (T) Ltd, Joseph Mwakandege akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la ununuzi wa IPTL. Kushoto ni Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi.  Habari na Mwene Said wa Blogu ya Jamii.  KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), imewasilisha maombi Mahakama Kuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kafulila aivimbia IPTL

SIKU moja baada ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kueleza kuwa imemfungulia kesi ya madai ya sh bilioni 310 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila...

 

9 years ago

Habarileo

Kafulila aanguka ubunge

BAADA ya mvutano, hatimaye matokeo ya jimbo la uchaguzi la Kigoma Kusini, wilayani Uvinza mkoa wa Kigoma yametangazwa ambapo mbunge aliyekuwa anatetea jimbo hilo, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameanguka.

 

9 years ago

Suit Over Escrow Remarks

Kafulila faces 100m/


Kafulila faces 100m/- suit over Escrow remarks
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and two other plaintiffs have filed a suit against the Member of Parliament (MP) for Kigoma South constituency under NCCR Mageuzi, Mr David Kafulila, demanding 100m/- compensation for allegedly issuing ...

 

11 years ago

Habarileo

Makinda- Kafulila mchokozi

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amesema Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ndiye aliyemchokoza kwa makusudi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema naye akajikuta akipandwa na hasira na kumuita Mbunge huyo tumbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani