Iraq:Kaburi la Saddam limeharibiwa
Picha zinaonyesha mabaki ya kaburi hilo lililojengwa kwa njia ya kifahari lililo katika kijiji cha al-Awja .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Hekalu la Palmyra limeharibiwa kabisa-UN
Umoja wa Mataifa umesema kuwa picha zilizonaswa na satelite zimethibitisha kuwa hekalu la Palmyra Kaskazini mwa Syria umeharibiwa
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Mwandani wa Saddam Hussein afariki
Taarifa kutoka wizara ya sheria nchini Iraq imetangaza kifo cha Tariq Aziz aliyekuwa mshauri wa karibu wa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Saddam Hussein .
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Kamba iliotumiwa kumnyonga Saddam kuuzwa
Kamba iliotumiwa kumyonga aliyekuwa rais wa Iraq marehemu Saddam Hussein imedaiwa kuuzwa kwa zaidi ya pauni millioni 4.6
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Trump:Dunia ingekuwa bora na Gaddaffi na Saddam
Donald Trump amesema kuwa dunia ingekuwa mahala bora zaidi Saddam Hussein wa Iraq na Maummar Gaddafi wangelikuwa hai.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG-phqV3RMMROQDz7LYXXWfLkf6FWueW4CwMbOFFVrsNwlrd7XEOlqjT5NRPJChDLte73btAwiZIfYJE126zJX83/JB.jpg?width=650)
JB AFUNGUKIA KABURI LA KUAMBIANA
Staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’. GLADNESS MALLYA BAADA ya wadau mbalimbali kuhoji kwa nini staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ ameliacha kaburi la aliyekuwa mwongozaji wa filamu katika kampuni yake, marehemu Adam Kuambiana mwenyewe amefunguka kwamba hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa. Akipiga stori na Centre Spread, JB alisema anatamani kulikarabati kaburi la Kuambiana ambalo limetoboka na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZusTADv-vOMN*Qsu3V9K1abRMChmyRYU8Ha9jtPUba7Nnomx6tA2XWNkAaA73JC7Q-bh8fM*2OeIeSbfFuoOX0H5/PENNY.jpg?width=650)
PENNY: NIMECHUNGULIA KABURI
MTANGAZAJI wa maarufu wa runinga Bongo, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa ugonjwa uliompiga juzikati ulikuwa ‘serious’ kiasi cha kuona ni Mungu tu amemwokoa. Mtangazaji wa maarufu wa runinga Bongo, Peniel Mungilwa ‘Penny’ akiwa hoi hospitali akisumbuliwa na ugonjwa wa Athma. Akichezesha taya na paparazi wetu, Penny alisema anamshukuru Mungu anaendelea vizuri kwani alikuwa na hali...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Flg-lHiuL4cVb3Ql5puIftfaAoY0m8uK9NwXpHCQiDyv4A58nJj2C4F73gm34OkS70VuJb7Ya-JL2fEfabfNnQY8HvCEzo58/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
KABURI LA BALLALI KUFUKULIWA
HII mpya! Kuna madai kwamba, kaburi la aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Timoth Ballali lililopo Makaburi ya Gate of Haeven (Geti la Mbinguni) Eneo Na. 6, Ploti Na. 241, Safu Na. 17 huko Maryland nchini Marekani lipo mbioni kufukuliwa ili kuwezesha vipimo vya vinasaba (DNA) kutumika kwa lengo la kubaini ukweli wa kifo chake, Ijumaa limeelezwa. Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-1-001.jpg?width=650)
MAGUFULI AZURU KABURI LA SOKOINE
Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli akiweka shada kwenye kaburi la Waziri Mkuu wa zamani, Edward Moringe Sokoine, Monduli Juu. Mke wa Sokoine na binti yake (amabaye ni mgombea ubunge wa Jimbo la Monduli kwa tiketi ya CCM, Namelock Sokoine) wakiweka shada kwenye kaburi hilo. Magufuli akicheza ngoma ya kabila la Kimasai. PICHA: RICHARD BUKOS ALIYEKO… ...
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Maiti 13 wazikwa kaburi la pamoja
Maiti 13 kati ya 19 za watu waliopoteza maisha katika ajali ya Basi la Nganga Express na lori iliyotokea juzi eneo la Iyovi, Milima ya Udzungwa mkoani Morogoro wamezikwa jana katika kaburi la pamoja eneo la Msamvu mkoani hapa.Â
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania