Mwandani wa Saddam Hussein afariki
Taarifa kutoka wizara ya sheria nchini Iraq imetangaza kifo cha Tariq Aziz aliyekuwa mshauri wa karibu wa aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Saddam Hussein .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Iraq:Kaburi la Saddam limeharibiwa
Picha zinaonyesha mabaki ya kaburi hilo lililojengwa kwa njia ya kifahari lililo katika kijiji cha al-Awja .
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Kamba iliotumiwa kumnyonga Saddam kuuzwa
Kamba iliotumiwa kumyonga aliyekuwa rais wa Iraq marehemu Saddam Hussein imedaiwa kuuzwa kwa zaidi ya pauni millioni 4.6
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
Trump:Dunia ingekuwa bora na Gaddaffi na Saddam
Donald Trump amesema kuwa dunia ingekuwa mahala bora zaidi Saddam Hussein wa Iraq na Maummar Gaddafi wangelikuwa hai.
10 years ago
GPL
RAYUU AMUANIKA MWANDANI WAKE
Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’. Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amezua gumzo baada ya picha zake zinazomuonesha akiwa chumbani na mwanaume kuenea mtandaoni, huku kijana huyo akionekana kujichora tatoo yenye jina la mwanadada huyo. Kijana huyo aliyefahamika kwa jina moja la Brown hakuweza kupatikana ili kuthibitisha uhusiano wake na mrembo huyo,...
10 years ago
Michuzi
mwandani wa saratani ya tezi dume

10 years ago
BBCSwahili02 Aug
Mwandani wa rais wa Burundi auawa
Mamlaka nchini Burundi inasema kuwa jenerali Adolphe Nshimirimana ameuawa.
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mwandani wa: Mapango ya Amboni mkoani Tanga
Na Sultani Kipingo Mapango maarufu ya Amboni mkoani Tanga ni eneo kubwa kuliko yote lenye majabali ya chokaa katika Afrika Mshariki. Yapo takriban kilomita nane hivi Kaskazini mwa mji wa Tanga, njia ya kuelekea huko ikichepuka toka barabara mkuu ya Tanga-Mombasa. Kumbukumbu zilizopo zinaonesha mapango hayo yalizuka kiasi cha miaka milioni 150 iliyopita, katika zama za mijusi wakubwa wajulikanao kama Jurassic age. Eneo lake lina kiloita za mraba 234, na kwa mujibu wa watafiti, eneo hilo...
9 years ago
Michuzi14 Nov
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania