IS yadaiwa kuuwa watu 20 Palmyra
Wanaharakati nchini Syria, wanasema kuwa wanamgambo wa Islamic State, wametumia ukumbi wa zamani Palmyra, kutekeleza mauwaji ya wafungwa 20.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Dereva ahemkwa Austria na kuuwa watu
Dereva mmoja wa Austria alenga wapita njia kusudi; auwa na kujeruhi kadha
11 years ago
Bongo511 Aug
Ndege nyingine yaanguka na kuuwa watu 40 Iran
Ndege inayomilikiwa na kampuni ya Taban Air imeripotiwa kuanguka katika makaazi ya watu Jumapili (Agosti 10) baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Mehrabad Maghribi mwa mji wa Tehran. TV ya taifa ya Iran imesema watu wote 40 wamepoteza maisha katika ajali hiyo na uchunguzi umeanza kufanywa ili kubaini chanzo. Ndege hiyo iliyojulikana kwa […]
9 years ago
VijimamboNOAH YAACHA NJIA NA KUUWA WATU 9 WILAYANI MISUNGWI
Watu tisa waliokuwa wakisafiri na gari dogo aina ya noah namba T812 BJU, wamefariki dunia papo hapo baada ya gari hilo kuacha njia na kupinduka jana jioni.
Ajali hiyo imetokea saa 11 jioni katika kijiji cha Mwamanga wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza kwenye barabara kuu ya kutoka Shinyanga kuelekea Mwanza, wakati gari hilo kumshinda dereva wake ambaye ni koplo mstaafu wa jeshi, Moris Lukenza, mkazi wa Geita.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, kamanda wa polisi mkoani Mwanza, Charles Mkumbo,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oSc1rtZkiB8/VSaLJgtsN_I/AAAAAAAAcoE/cguU-Mn_f54/s72-c/IMG-20150409-WA0036.jpg)
MABASI YAPATA AJALI TANGA NA MOROGORO NA KUUWA WATU KADHAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-oSc1rtZkiB8/VSaLJgtsN_I/AAAAAAAAcoE/cguU-Mn_f54/s640/IMG-20150409-WA0036.jpg)
Inaelezwa kuwa basi la Ratco lilgongana kwanza na gari dogo na kisha kwenda kugongana uso kwa uso na basi la Ngorika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s72-c/IMG-20141129-WA0013.jpg)
NEWS ALERT: CHOPA YAPIGA MWELEKA LEO NA KUUWA WATU WANNE JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s1600/IMG-20141129-WA0013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fo9dcUps4VM/VHnA7xUxiPI/AAAAAAAG0G0/7Rsrdnubbt4/s1600/IMG-20141129-WA0012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gKJwAPs9fCQ/VHnA8Fa9yMI/AAAAAAAG0G8/MEVQBqyj2Jg/s1600/IMG-20141129-WA0016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P02KPTQ8OPw/VHnA8b34RhI/AAAAAAAG0G4/oVUhEXKFl-s/s1600/IMG-20141129-WA0014.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s72-c/unnamed.jpgh.jpg)
FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.
PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,
Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...
Stuttgart,Ujerumani,
![](http://2.bp.blogspot.com/-NNOl3lRXFNg/VA3DkkzLwoI/AAAAAAAGh-8/UG7ItRhJYsY/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 May
Palmyra yaitekwa na ISIS
Wapiganaji wa Islamic State wameuteka mji wa kale wa Palmyra nchini Syria kutoka majeshi yanayoiunga mkono serikali ya nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili15 May
Is yauharibu mji wa Palmyra,Syria
Wakuu wa mambo ya kale nchini Syria wameonya juu ya majanga yanayosababishwa na IS nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Hekalu la Palmyra limeharibiwa kabisa-UN
Umoja wa Mataifa umesema kuwa picha zilizonaswa na satelite zimethibitisha kuwa hekalu la Palmyra Kaskazini mwa Syria umeharibiwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania