Dereva ahemkwa Austria na kuuwa watu
Dereva mmoja wa Austria alenga wapita njia kusudi; auwa na kujeruhi kadha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 May
IS yadaiwa kuuwa watu 20 Palmyra
11 years ago
Bongo511 Aug
Ndege nyingine yaanguka na kuuwa watu 40 Iran
9 years ago
VijimamboNOAH YAACHA NJIA NA KUUWA WATU 9 WILAYANI MISUNGWI
Watu tisa waliokuwa wakisafiri na gari dogo aina ya noah namba T812 BJU, wamefariki dunia papo hapo baada ya gari hilo kuacha njia na kupinduka jana jioni.
Ajali hiyo imetokea saa 11 jioni katika kijiji cha Mwamanga wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza kwenye barabara kuu ya kutoka Shinyanga kuelekea Mwanza, wakati gari hilo kumshinda dereva wake ambaye ni koplo mstaafu wa jeshi, Moris Lukenza, mkazi wa Geita.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, kamanda wa polisi mkoani Mwanza, Charles Mkumbo,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oSc1rtZkiB8/VSaLJgtsN_I/AAAAAAAAcoE/cguU-Mn_f54/s72-c/IMG-20150409-WA0036.jpg)
MABASI YAPATA AJALI TANGA NA MOROGORO NA KUUWA WATU KADHAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-oSc1rtZkiB8/VSaLJgtsN_I/AAAAAAAAcoE/cguU-Mn_f54/s640/IMG-20150409-WA0036.jpg)
Inaelezwa kuwa basi la Ratco lilgongana kwanza na gari dogo na kisha kwenda kugongana uso kwa uso na basi la Ngorika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-95EPrOC0dhM/VZObAygQWII/AAAAAAAHmKw/94_pYAZBH68/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MZIMU WA NGOMA AFRICA BAND KUIBUKIA MAMLING FESTIVAL, AUSTRIA, Jumapili 5 Julai 2015-Austria
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s72-c/IMG-20141129-WA0013.jpg)
NEWS ALERT: CHOPA YAPIGA MWELEKA LEO NA KUUWA WATU WANNE JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s1600/IMG-20141129-WA0013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fo9dcUps4VM/VHnA7xUxiPI/AAAAAAAG0G0/7Rsrdnubbt4/s1600/IMG-20141129-WA0012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gKJwAPs9fCQ/VHnA8Fa9yMI/AAAAAAAG0G8/MEVQBqyj2Jg/s1600/IMG-20141129-WA0016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P02KPTQ8OPw/VHnA8b34RhI/AAAAAAAG0G4/oVUhEXKFl-s/s1600/IMG-20141129-WA0014.jpg)
9 years ago
StarTV22 Nov
 Watu 22 wajeruhiwa Songea dereva atoroka Â
Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela amewataka wamiliki wa vyombo vya usafiri kuwa na kawaida ya kukagua Magari yao mara kwa mara ili kuweza kuepuka Ajali ambazo zinaweza kuepukika.
Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela ameyasema hayo baada ya Gari lenye Namba za Usajili T958 CUV Toyota Rosa kupata ajali eneo la Kigonsera na kusababisha watu 22 kujeruhiwa na wawili kuvunjika mikono
Amesema Jiografia ya Mkoa wa Ruvuma ina kona nyingi na milima hivyo Dereva anatakiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200324-WA0002.jpg)
MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200324-WA0002.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAMSHIKILIA DEREVA WA LORI MALI YA TEXAS HARDWARE KWA KUSABABISHA AJALI ILIYOPELEKEA VIFO VYA WATU 8 NA MAJERUHI 5 WILAYA YA MAGU
TAREHE 10.06.2020 MAJIRA YA 19:45HRS KATIKA BARABARA YA MWANZA – MUSOMA, ENEO LA IHAYABUYAGA, KATA YA BUKANDWE, TARAFA YA SANJO, WILAYA YA MAGU – MWANZA, DEREVA AITWAE BONIPHACE CLIPHORD @TUJU MIAKA 37, MJITA, MKAZI WA MWANZA-NERA AKIENDESHA GARI NA T.322 DCB TRAILER T.1351 DCA AINA YA SCANIA LIKITOKEA WILAYA YA BUSEGA KWENDA MWANZA MALI YA KAMPUNI YA TEXAS HARDWARE, ILIGONGA TELA YA TRAKTA KWA NYUMA AMBAYO ILIKUWA HAINA TAA ZA NYUMA YENYE NAMBA ZA USAJILI T.952 DGW, BAADA YA KULIGONGA...