NOAH YAACHA NJIA NA KUUWA WATU 9 WILAYANI MISUNGWI
Watu tisa waliokuwa wakisafiri na gari dogo aina ya noah namba T812 BJU, wamefariki dunia papo hapo baada ya gari hilo kuacha njia na kupinduka jana jioni.
Ajali hiyo imetokea saa 11 jioni katika kijiji cha Mwamanga wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza kwenye barabara kuu ya kutoka Shinyanga kuelekea Mwanza, wakati gari hilo kumshinda dereva wake ambaye ni koplo mstaafu wa jeshi, Moris Lukenza, mkazi wa Geita.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, kamanda wa polisi mkoani Mwanza, Charles Mkumbo,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 May
IS yadaiwa kuuwa watu 20 Palmyra
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Dereva ahemkwa Austria na kuuwa watu
11 years ago
Bongo511 Aug
Ndege nyingine yaanguka na kuuwa watu 40 Iran
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mvua yaacha watu 400 bila makazi
MVUA kubwa iliyoambatana na mawe na upepo mkali, imewaacha zaidi ya watu 400 katika kijiji cha Mwandoya wilayani Meatu mkoani Simiyu bila kuwa na mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kuezuliwa.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oSc1rtZkiB8/VSaLJgtsN_I/AAAAAAAAcoE/cguU-Mn_f54/s72-c/IMG-20150409-WA0036.jpg)
MABASI YAPATA AJALI TANGA NA MOROGORO NA KUUWA WATU KADHAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-oSc1rtZkiB8/VSaLJgtsN_I/AAAAAAAAcoE/cguU-Mn_f54/s640/IMG-20150409-WA0036.jpg)
Inaelezwa kuwa basi la Ratco lilgongana kwanza na gari dogo na kisha kwenda kugongana uso kwa uso na basi la Ngorika...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Bomoabomoa Arusha yaacha watu 216 bila makazi
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, imebomoa nyumba zake kwenye maeneo ya Kilombero, Themi na Kaloleni ambazo zilikuwa zinakaliwa na wapangaji 216. Hatua hiyo imepokewa kwa hisia tofauti miongoni mwa madiwani...
11 years ago
Habarileo28 Jun
Noah yaua watu 3 Singida
WATU watatu wamekufa papo hapo na wengine kumi kujeruhiwa baada ya gari ndogo ya abiria aina ya Toyota Noah walimokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka eneo la Januka kwenye barabara Kuu ya Singida – Arusha.
11 years ago
Habarileo16 Dec
Noah yaua watu sita
WATU sita wamekufa papo hapo na wengine wawili wamejeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya gari iliyotokea juzi usiku katika mji wa Longido mkoani Arusha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s72-c/2-2-2.jpg)
DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s640/2-2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3AAA-4-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4AAA-3.jpg)