Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauaji ya wanafunzi waislamu yazua hisia

Maafisa wa polisi mjini Carolina kazkazini wamemkamata mtu mmoja baada ya wanafunzi watatu waislamu kupatikana wamefariki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Hisia za Pistorius baada ya mauaji

Mwanariadha anayekabiliwa na kesi ya mauaji nchini Afrika Kusini Oscar Pistorius alikuwa na majuto baada ya kumuua mpenzi wake, asema jirani yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Waislamu UK:Wapinga mauaji ya C Hebdo

Idadi kubwa ya waislamu nchini Uingereza wanapinga ghasia dhidi ya watu waliochapisha vibonzo vya kumdhalilisha mtume Mohammed

 

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji yazua mjadala wa ubaguzi US

Utumizi wa neno uhalifu wa chuki ili kuelezea mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la watu weusi mjini Carolina Kusini nchini Marekani umezua mjadala kuhusu ni nini haswa kinachosababisha mtu kutekeleza ugaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya wahubiri yazua taharuki Mandera

Polisi wametumia gesi ya kutoa machozi, kuwatawanya vijana wanaopinga mauaji ya wahubiri wawili wa kiisilamu mjini Mandera,Kaskazini mwa Kenya

 

9 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya mhubiri yazua joto Saudi Arabia

Marekani imeeleza wasiwasi wake kuhusu hali eneo la Mashariki ya Kati baada ya Saudi Arabia kumuua mhubiri mashuhuri wa Kishia Sheikh Nimr al-Nimr.

 

10 years ago

Vijimambo

NOAH INAYODAIWA KUTEKA WANAFUNZI JIJINI DAR YAZUA KIZAAZAA

Hofu kubwa imewakumba wakazi wa Wilaya za Ilala na Temeke, jijini Dar es Salaam kufuatia kuzagaa kwa uvumi wa kuwapo wahalifu wanaotumia gari aina ya Noah yenye rangi nyeusi na kupita shuleni na kuwateka watoto na kwenda kuwachuna ngozi. Uvumi huo ulianza kuzagaa Oktoba Mosi, mwaka huu, maeneo tofauti katika wilaya hizo, hususan katika shule za msingi.Walimu wakuu wa baadhi ya shule walithibitisha kusikia uvumi huo na hivyo, kuwapa tahadhari wanafunzi. Waandishi wa habari w walitembelea...

 

10 years ago

Michuzi

GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA

 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime akifikishwa mahakamani wakati wa hatua za awali za kesi hiyo. ------------------------Na Mwene Said wa Globu ya Jamii MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta  mwenendo wa kesi ya mauaji iliyofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini dhidi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, wanaohusishwa na kuporomoka kwa jingo la ghorofa 16 katika mtaa wa Indira Gandh na kuua watu 27...

 

5 years ago

Michuzi

MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA

Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo leo jijini Arusha.Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo. Pichani ni mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya binti wa kazi akiingizwa kwa hakimu mkazi mfawidhi Analia Mushi kutajwa kwa kesi yake huku akijifunika uso gubigubi kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani