Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hisia za Pistorius baada ya mauaji

Mwanariadha anayekabiliwa na kesi ya mauaji nchini Afrika Kusini Oscar Pistorius alikuwa na majuto baada ya kumuua mpenzi wake, asema jirani yake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya wanafunzi waislamu yazua hisia

Maafisa wa polisi mjini Carolina kazkazini wamemkamata mtu mmoja baada ya wanafunzi watatu waislamu kupatikana wamefariki

 

11 years ago

Mwananchi

Pistorius apatikana na hatia ya mauaji

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matukio 10 makuu baada ya mauaji Garissa

Imepita sasa juma moja tangu wanamgambo wa Al Shabaab kuua watu 148 huko Garissa,matukio 10 makuu yaliyofuatia tukio hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAADA YA MAUAJI YA KIMBARI: Rwanda yajikita katika maendeleo

MAUAJI ya halaiki yanayotokana na visasi, ukabila, ubaguzi wa rangi, dini na ugaidi ni matendo  yanayopaswa kupigwa vita ulimwenguni. Mauaji kama hayo yamekuwa yakitokea duniani tangu zama za kale. Mauaji...

 

9 years ago

MillardAyo

Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video)

Ishu ya matukio mfululizo ya mauaji Marekani yakihusishwa matumizi ya silaha yamekuwa yakitawala vichwa vya habari za Marekani na duniani.. mjadala ukaibuliwa kwamba kuna sababu zote za msingi itengenezwe sheria ya kudhibiti matumizi ya silaha. Japo kumekuwa na mvutano mkubwa kuhusu Bunge la Marekani kupitisha sheria hiyo, jana January 5 2015 Rais wa Marekani alijikuta […]

The post Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video) appeared first on...

 

5 years ago

BBCSwahili

Darfur yasubiri haki baada ya mauaji ya 'kwanza ya kimbari katika karne ya 21'

Serikali ya Sudan imesema wale wote wanaotafutwa na ICC wakihusishwa na mauaji katika jimbo la Darfur watafikishwa katika mahakama ya ICC

 

5 years ago

Michuzi

BAADA YA KUJIFICHA KWA MIAKA 26 NA KUKAMATWA KABUGA AKANA KUHUSIKA NA MAUAJI YA KIMBARI


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MAUAJI ya Kimbari ya mwaka 1994 ambayo yanaelezwa kuwa ni mpango uliotekelezwa na baadhi ya watu na kuuwa maelfu ya watu wa kabila la Watutsi nchini Rwanda, mmoja ya watekelezaji wa tukio hilo  Felician Kabuga aliyekamatwa baada ya miaka 26 tangu kutokea kwa tukio hilo ameieleza mahakama inayomshikilia  nchini Ufaransa kuwa wampe dhamana wakati akisubiri ni wapi kesi yake itasikilizwa aidha Ufaransa alipokamatwa au nyumbani anakodaiwa kutekeleza mauaji...

 

11 years ago

Michuzi

GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA

 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime akifikishwa mahakamani wakati wa hatua za awali za kesi hiyo. ------------------------Na Mwene Said wa Globu ya Jamii MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta  mwenendo wa kesi ya mauaji iliyofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini dhidi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, wanaohusishwa na kuporomoka kwa jingo la ghorofa 16 katika mtaa wa Indira Gandh na kuua watu 27...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani