Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mansour apewa rungu kuing’oa CCM mwakani

Siku chache baada ya kujiunga na CUF, Waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Mansour Yussuf Himid (46), ameteuliwa kuwa mkuu wa mikakati wa kufanikisha kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi(CCM) kupitia Uchaguzi Mkuu mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

AG apewa rungu kura ya maoni

WAKATI kukiwa na matamanio na ushauri wa kutaka Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha Katiba Mpya inapatikana kabla ya kuondoka madarakani, suala hilo limeachwa kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupatiwa ufumbuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow kuing’oa CCM

 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema licha ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwadharau Watanzania na kuamini kwamba hawana madhara kwa ustawi wake, kashfa ya uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow itaking’oa chama hicho madarakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani TZ waungana kuing'oa CCM

Vyama vinne vya upinzani nchini Tanzania vimetia saini makubaliano ya kupata nguvu ya pamoja, kuking’oa madarakani Chama tawala.

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM

>Kiongozi Mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema endapo vyama vya upinzani vikiungana na kuweka mikakati makini ya muda mrefu, vinaweza kuking’oa CCM madarakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa watamba ‘mseto’ kuing’oa CCM madarakani

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amesema mchanganyiko wa viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika ngazi ya Serikali za Mitaa ni dalili tosha ya kuking’oa madarakani Chama cha Mapinduzi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Makubaliano ya UKAWA lazima yawe zaidi kutaka kuing’oa CCM

MOJAWAPO ya mambo ambayo baadhi yetu hatukuyachangamkia sana ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ulikuja kama mwamko (movement) ya kupinga kile ambacho wajumbe wake waliona ni utekaji wa...

 

11 years ago

Habarileo

Kinana awapa rungu wabunge CCM

KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana amewapa rungu wabunge wa chama hicho, kwa kutaka wahakikishe hawapitishi kila kitu, hasa sheria zinazowasilishwa bungeni na mawaziri, wakibaini hazina maslahi kwa wananchi na taifa kwa ujumla.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM inaogopa nini kutumia rungu lake?

>Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimo katika kibarua cha kuwahoji makada wake wanaotajwa au kuonyesha dalili za kugombea urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani