Mansour apewa rungu kuing’oa CCM mwakani
Siku chache baada ya kujiunga na CUF, Waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Mansour Yussuf Himid (46), ameteuliwa kuwa mkuu wa mikakati wa kufanikisha kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi(CCM) kupitia Uchaguzi Mkuu mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Oct
AG apewa rungu kura ya maoni
WAKATI kukiwa na matamanio na ushauri wa kutaka Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha Katiba Mpya inapatikana kabla ya kuondoka madarakani, suala hilo limeachwa kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupatiwa ufumbuzi.
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Escrow kuing’oa CCM
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Upinzani TZ waungana kuing'oa CCM
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Msekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Ukawa watamba ‘mseto’ kuing’oa CCM madarakani
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Makubaliano ya UKAWA lazima yawe zaidi kutaka kuing’oa CCM
MOJAWAPO ya mambo ambayo baadhi yetu hatukuyachangamkia sana ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ulikuja kama mwamko (movement) ya kupinga kile ambacho wajumbe wake waliona ni utekaji wa...
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kinana awapa rungu wabunge CCM
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana amewapa rungu wabunge wa chama hicho, kwa kutaka wahakikishe hawapitishi kila kitu, hasa sheria zinazowasilishwa bungeni na mawaziri, wakibaini hazina maslahi kwa wananchi na taifa kwa ujumla.
11 years ago
Mwananchi19 Feb
CCM inaogopa nini kutumia rungu lake?