CCM wamsulubu Kikwete
KIKAO cha Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichomalizika juzi mjini Dodoma, kinatarajia kusababisha mapinduzi makubwa ya utendaji wa serikali pamoja na mijadala ya vikao vya Bunge Maalumu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Majambazi 'wamsulubu' mwalimu Kenya
Mwalimu wa kanisa katoliki Magharibi mwa Kenya alitekwa nyara majambazi na kupigiwa msumari kwenye mti msituni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND2t5uNBV*404bfUZooBJyJalotSTNkJm2HSnE4MNowFUckRwS99KCzVSWW0FxOpYvWp-K5Ce2PQ6kZ6CcI0TTYn/MJUKUU.jpg)
WAMSULUBU MJUKUU, WATIWA MBARONI
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KIBANO! Jeshi la Polisi Changombe, Dar linamshikilia mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Neema na babu Ramadhan kwa RB namba CHA/RB/4645/2014 UNYANYASAJI WA MTOTO wakidaiwa kumsulubu mjukuu wao (jina linahifadhiwa kimaadili). Mke na mume wanaodaiwa kumfanyia ukatili mtoto huyo Tukio la kuwatia nguvuni wahusika hao lilijiri Mei 29, mwaka huu maeneo ya Buza jijini Dar, baada ya ya...
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Wapinzani wamsulubu Mwakyembe bungeni
>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, jana ilimsulubu Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ikieleza kuwa wizara yake iliingia mkataba wa mradi wa treni za kisasa kutoka Stesheni ya Dar es Salaam hadi Pugu kupitia Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) bila kufuata taratibu.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZSu4J_XV1L4/default.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Feb
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/32.jpg)
MWENYEKITI WA CCM DK. KIKWETE AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM JIJINI MBEYA
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwasili eneo la Soweto Mwanjelwa jijini Mbeya tayari kwa kuanza matembezi ya mshikamano kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 37 ya CCM. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM bara Mzee Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.… ...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Kikwete aongoza Kikao cha Halmashauri kuu ya CCM Jijini leo
Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri kuu ya CCM jijini Dar es salaam ambacho kimehudhuriwa kwa mara ya kwanza na Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli.(PICHA NA ISSA MICHUZI WA IKULU).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania