Mbunge alizwa Mil. 40/ - kusaka uwaziri
WAZIRI na Naibu Waziri wake katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wameshindwa kufanikiwa kwenye
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Jul
Mbunge viti maalumu atoa msaada wa mil 6/-
MBUNGE wa Viti Maalum kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Singida, Martha Mlata ametoa msaada wa vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 5.7 kwa Kituo cha afya cha Sokoine cha mjini Singida.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii… (+Audio)
Tumezipata za Rais Magufuli kwenye ziara za ghafla, zikaja za Mawaziri wa Rais Magufuli nao kwenye ziara za aina hiyohiyo, taarifa ikufikie kwamba Wabunge nao hawako nyuma.. moto wao uko hivyohivyo. Mbunge wa Arumeru Mashariki, Mbunge Joshua Nassari nae kafanya ziara yake Hospitali ya Wilaya ya Meru alafu akatoka na haya >>> “Ni aibu unakuja Hospitali […]
The post Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii… (+Audio) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii…(+Audio)
Kasi ya Rais Magufuli katika kupambana na matumizi holele ya fedha za Serikali imeendelea kushika kasi hata kwa baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, Hapa nakukutanisha na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari alipotembelea Hospitali ya Wilaya,na kuamua kufanya haya maamuzi. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii…(+Audio) appeared first on...
11 years ago
GPLSHILOLE ALIZWA SIMU
9 years ago
GPLNAY ALIZWA NA MREMBO
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-
MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...
9 years ago
Bongo Movies23 Nov
Dude Alizwa Kila Kitu
YAMEMKUTA! Mwigizaji maarufu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amelizwa kila kitu kwenye gari lake baada ya wezi kuvunja kioo na kufanya uharibifu mkubwa kisha kutokomea na vitu hivyo.
Tukio hilo lililomchanganya Dude lilijiri nyumbani kwake, Kiwalani jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo jamaa hao waliruka fensi na kuvunja kioo cha nyuma kisha kutoa vitu muhimu kwenye gari hilo aina ya Toyota Mark II.
“Ukweli sasa hivi nikisikia kelele za mwizi hata niwe naendesha gari, nitapaki na kwenda kutoa...
10 years ago
GPLMTANGAZAJI ALIZWA GARI USIKU MNENE
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Polisi alizwa bodaboda Uwanja wa Taifa
KATIKA hali ya kushangaza na kusikitisha, askari polisi Raphael Maganga, juzi aliibiwa pikipiki yake aliyokuwa ameiegesha ndani ya Uwanja wa Taifa wakati wa mechi ya kirafiki kati ya Taifa Stars...