NAY ALIZWA NA MREMBO
Musa Mateja AMEPIGWA! Ndivyo vijana wa mjini wanavyosema kuakisi tukio la staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kuibiwa na mrembo pochi iliyokuwa na zaidi ya shilingi laki 8, vitambulisho vyake mbalimbali kikiwemo cha kupigia kura, Risasi Jumamosi linakupa mchapo kamili. Tukio hilo la kumzidi ujanja Nay lilitokea Septemba 7, mwaka huu maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo msanii huyo alikuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Aug
Behind The Scenes: Utengenezaji wa video ya Nay Wa Mitego ‘Mr Nay’ nchini Kenya
10 years ago
Bongo530 Aug
Usichokifahamu kuhusu ‘concept’ ya video mpya ya Nay wa Mitego ‘Mr Nay’
9 years ago
Bongo519 Nov
Chagga Barbie ndiye ameziba nafasi ya Shamsa Ford kwa Nay Wa Mitego? Nay azungumza
Jimbo la mapenzi la Nay Wa Mitego liko wazi toka aachane na aliyekuwa cousin mpenzi wake Shamsa Ford, lakini swali ni kwamba ni mrembo gani aliyerithi nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Shamsa ambayo huenda kuna warembo wengi wanaitamani?
Kama unamfatilia Nay Wa Mitego kwenye akunti yake ya Instagram sina shaka utakuwa umeanza kuona dalili za kuwa kuna mpenzi mpya ‘mteule’ anayesubiri ‘kuapishwa’ na kuwa rasmi.
Chagga Barbie sio jina geni, ndio yule aliyezitawala headlines nyingi alipokuwa...
11 years ago
GPLSHILOLE ALIZWA SIMU
10 years ago
GPL29 Aug
9 years ago
Bongo Movies23 Nov
Dude Alizwa Kila Kitu
YAMEMKUTA! Mwigizaji maarufu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amelizwa kila kitu kwenye gari lake baada ya wezi kuvunja kioo na kufanya uharibifu mkubwa kisha kutokomea na vitu hivyo.
Tukio hilo lililomchanganya Dude lilijiri nyumbani kwake, Kiwalani jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo jamaa hao waliruka fensi na kuvunja kioo cha nyuma kisha kutoa vitu muhimu kwenye gari hilo aina ya Toyota Mark II.
“Ukweli sasa hivi nikisikia kelele za mwizi hata niwe naendesha gari, nitapaki na kwenda kutoa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Polisi alizwa bodaboda Uwanja wa Taifa
KATIKA hali ya kushangaza na kusikitisha, askari polisi Raphael Maganga, juzi aliibiwa pikipiki yake aliyokuwa ameiegesha ndani ya Uwanja wa Taifa wakati wa mechi ya kirafiki kati ya Taifa Stars...
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Mbunge alizwa Mil. 40/ - kusaka uwaziri
WAZIRI na Naibu Waziri wake katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wameshindwa kufanikiwa kwenye
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPLMTANGAZAJI ALIZWA GARI USIKU MNENE