Maswali 10 tata kuhusu dengue
Tangu ugonjwa wa homa ya dengue uibuke mkoani Dar es Salaam na baadaye maeneo mengine ya nchi, wananchi wamekuwa wakijiuliza maswali mengi yenye utata ambayo sasa yamepata majibu ya wataalamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/b8YL1Nsfi8mNKMOI9wpBwpnMdC32qfWs4ggz7NZtaL8f4CCzVb0bSzg-hnRF1zNSvFc-UyCq0aDXUUljLysC33TS*XmKnakS/Mtikila.jpg?width=650)
MASWALI 10 TATA KIFO CHA MTIKILA!
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s72-c/Eyakuze.jpg)
Utafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%
![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s640/Eyakuze.jpg)
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...
11 years ago
GPL![](https://1.bp.blogspot.com/-0RrKmzHbUVY/U2n74cY8zKI/AAAAAAAANOo/tQkOFhHYl7k/s1600/dengue.jpg)
FAHAMU KUHUSU HOMA YA DENGUE
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Serikali yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa Dengue
11 years ago
Dewji Blog13 May
Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa Homa ya Dengue
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid na Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Charles Pallangyo.
Utangulizi
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani “dengue fever” hapa nchini.Ugonjwa huu umethibitishwabaada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa huu jijini Dar es Salaam kupelekwa kwenye maabara yetu ya Taifa Dar es salaam na kuthibitisha kuwa na...
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Wizara ya Afya yaonya kuhusu ugonjwa wa dengue nchini
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Maswali na majibu kuhusu UKIMWI (2)
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Maswali na majibu kuhusu UKIMWI