Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugonjwa wa Malaria wakutanisha wataalamu Afrika

Wataalamu wa Sekta ya Afya kutoka Afrika wamekutana jijini Dar es Salaam kujadiliana na kuangalia ni kwa namna gani wanaweza kupambana na magonjwa yanayoenezwa na Mbu hasa Malaria ambao umeonekana kuathiri zaidi nguvu kazi ya waafrika.

Mkutano huo ni wa pili tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Nchi hizo za Bara la Afrika ujulikanao kama PAMCA ukilenga pia kuongeza nguvu ya pamoja ya kukabiliana na magonjwa hayo.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Dawa (NIMR), Dkt Mwele Malecela anasema...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UGONJWA WA MALARIA KWA MJAMZITO

Malaria ni maambukizi ya seli nyekundu za damu inayosababishwa na vimelea vinavyoitwa kitaalamu, Plasmodiumu. Plasmodiumu hawa husambazwa na mbu   aina ya Anofelesi. Mbu hutoa parasiti za malaria na kukomaa katika seli nyekundu za damu na mamilioni ya parasiti hukusanyika katika plasenta ya mjamzito.Malaria ni hatari zaidi kwa wajawazito kuliko watu ambao hawana mimba. Dalili za malaria
Mama mjamzito anakuwa na dalili...

 

5 years ago

Michuzi

UGONJWA WA MALARIA WAZIDI KUPUNGUA NCHINI

Na.WAMJW,Chunya.

Takwimu za kitaifa za viashiria vya malaria kwa mwaka 2017 (Malaria Indicator Survey) inaonesha kuwa upatikanaji wa vyandarua (access) kwa wananchi kitaifa ni asilimia 63 na  matumizi ya vyandarua kwa wanajamii kitaifa ni asilimia 52.

Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.

Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania inavyopania kugundua chanjo dhidi ya ugonjwa wa malaria

>Kama ulidhani simba ni hatari,  nyoka na wanyama wengine wakali wa mwituni basi umekosea kwani mdudu mdogo ambaye unaweza kumuua  kwa vidole vyako aweza akawa hatari wanyama mwitu waogopwao kama vile simba, chui, nyati na nyoka. Mdudu huyo si mwingine bali ni mbu.

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na Wataalamu watatu wa utafiti wa chanjo ya Malaria kutoka Ifakara Health Institute mjini Malabo, Equatorial Guinea

d3

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Dr. Ally Olot, mtafiti wa chanjo ya malaria na kiongozi wa watafiti wa Ifakara Health Institute (IHI) Malabo, Equatorial Guinea) walipomtembelea kwenye makazi yake mjini Malabo ambako Rais alikuwa anahudhuria mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika. Wengine ni Dr. Mwajuma Chemba ambaye ni Mtalaamu mratibu wa tafiti za chanjo ya malaria, na Elizabeth Nyakarungu, Mtaalamu wa maabara, utambuzi wadudu wa Malaria).

d4

d6

Rais Kikwete aliwapongeza sana...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MBARAWA ASEMA WATATUMIA WATAALAMU WA NDANI KUFUNGA PAMPU IWAPO UGONJWA WA CORONA UTAENDELEA KUWEPO

 WAZIRI wa Maji Proffesa Makame Mbarawa akizungumza leo wakati wa ziara yake wilayani Pangani kushoto ni Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Lugongo
 WAZIRI wa Maji Proffesa Makame Mbarawa akizungumza mara baada ya kuangalia mradi wa maji Kijiji cha Ubangaa
 MKURUGENZI wa Bonde la Maji la Mto Pangani Segule Segule akizungumza wakati wa ziara hiyo kulia ni Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Pangani
 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Pangani Seif Ally akizungumza wakati wa ziara hiyo kushoto ni...

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania kuongoza Afrika wataalamu wa gesi

UTEKELEZAJI wa ahadi ya Rais Jakaya Kikwete, ya kumwachia mrithi wake mazingira ya kuongoza nchi tajiri, umeanza kutoa mwanga, ambapo Tanzania sasa inajiandaa kuongoza Afrika kwa kuwa na wataalamu wazawa wa mafuta na gesi.

 

11 years ago

Habarileo

Wataalamu wahoji Afrika kutopewa dawa ya Ebola

WATAALAMU wa masuala ya ebola, wamehoji ni kwa nini wafanyakazi wa afya wa Marekani, ndio tu wanaopewa dawa za majaribio. Wataalamu watatu wa masuala hayo, wametaka dawa hizo za majaribio na chanjo, zipewe kwa watu wa Afrika Magharibi, ambako kuna mlipuko wa ugonjwa huo hatari.

 

9 years ago

StarTV

Ukusanyaji takwimu Afrika yatakiwa kuzalisha wataalamu wake

Wataalamu wa Takwimu katika nchi za Afrika wametakiwa kutumia utaalamu walionao kuzalisha wataalam vijana watakaoleta mabadiliko kwa kutumia teknolojia mpya ya sayansi.

Mkurugenzi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Albina Chuwa amesema nchi za Afrika zikikosa wataalamu wa ndani wataalam kutoka nje watachukua nafasi ya kukusanya takwimu bila kuzingatia hali halisi ya Afrika.

 

Mkurugenzi wa Takwimu, Albina Chuwa anasema njia zinazotumika kwa  sasa katika kufanya tafiti za takwimu zinatumia bilioni...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maambukizi ya malaria yapungua Afrika

Juhudi za pamoja za kukabiliana na malaria zimechangia kuzuiwa kwa visa takriban 700 milioni vya maambukizi ya ugonjwa huo Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani