Mr Bean: Mhandisi anayezeekea kwenye vichekesho
Inawezekana kuonekana ni jambo la ajabu kwa mtu mwenye taaluma inayoheshimika katika jamii kutojihusisha kabisa na kazi hiyo, badala yake kufanya kitu asicho na msingi nacho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Happy birthday Mr. Bean !! Leo ni siku yake, enjoy na vioja vyake kwenye video 3..
Jina lake kamili ni Rowan Atkinson, raia wa Uingereza ambaye ni staa wa movie na comedy pia duniani !! Unajua kitu kizuri kwa Mr. Bean anafanya comedy ambayo hata kama huelewi lugha yake, vitendo vyake tuu lazima akuache hoi kwa kicheko. Leo Rowan Atkinson a.k.a Mr. Bean anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa anatimiza miaka 60… jamaa […]
The post Happy birthday Mr. Bean !! Leo ni siku yake, enjoy na vioja vyake kwenye video 3.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi20 Jun
MHANDISI EDWIN NGONYANI ATEMBELEA MABANDA YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA UTUMISHI WA UMMA
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2174.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/3144.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/5106.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0049.jpg)
DC ATOA SIKU SABA KWA MHANDISI WA JIJI LA ARUSHA KUWEKA MAJI KWENYE JENGO LA KITUO CHA AFYA MURIET
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200422-WA0049.jpg)
Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama ya Jiji la Arusha wakikagua madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0046.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akiongea mara baada ya kukagua ujenzi wa madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini na kutoa siku Saba kwa mhandisi kuhakikisha wanaweka maji kwenye kituo Cha Afya huku akipongeza Ujenzi wa madarasa hayo na kutaka yakamilike kwa wakati picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0043.jpg)
Afisa elimu...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Luiza Mbutu Mkongwe anayezeekea Twanga
Luiza Nyoni Mbutu
Stori: MAYASA MARIWATA
LUIZA Nyoni Mbutu ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi, ambaye haikuwa kazi rahisi mpaka kufika hapo alipo kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia.
AMEANZIA MBALI
Akizunguzia safari yake ya kimuziki, Luiza ambaye ni mzaliwa wa Jiji la Dar, alisema alijikita rasmi kwenye shughuli hizo mnamo mwaka 1996 katika Bendi ya Air Jaz ambayo ni ya Jeshi la Anga kwa ushawishi mkubwa wa dada ambaye naye alikuwa mwanamuziki, Modesta Nyoni yeye...
5 years ago
GSMArena.Com06 Apr
Galaxy Buds "Bean" TWS earphones leak, suggest a radically new design - GSMArena.com news
11 years ago
BBCSwahili30 May
Sanaa ya vichekesho Uganda
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1HVDY-KecWYyIdoLstxIieadQxzgZNvhWaylItMvS3ePB4eugraedyHvii1SO9ICN6htUgO9gK4kPy9fxFSIOi/MZEE.jpg)
R.I.P GWIJI WA VICHEKESHO MZEE SMALL
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ldjz0PRlW7g/VA8CprLuZBI/AAAAAAAGiO8/4ykCU6UP1Xs/s72-c/Maisha%2BMagic%2BLayouts-%2BKansime%2B(Michuzi%2BBlog%2BBanner)%2B(3).jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
Msanii wa vichekesho Bill Cosby matatani