Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VICHEKESHO KATIKA MAISHA MAGIC YA DSTV



Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

DStv YAJA NA CHANELI YA MAISHA MAGIC BONGO, KWA AJILI YA WATANZANIA

D3A_5097Mkurugenzi M-Net Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice hivi karibuni nchini Mauritius.D3A_5116Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus akifurahi jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi mbalimbali za Afrika.
Na Modewjiblog,...

 

9 years ago

GPL

DSTV YAJA NA CHANELI YA MAISHA MAGIC BONGO, KWA AJILI YA WATANZANIA‏

Mkurugenzi M-Net Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi za Afrika waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice hivi karibuni nchini Mauritius. Mkurugenzi wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus akifurahi jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari...

 

9 years ago

Bongo5

Vifahamu vipindi vya channel mpya ya ‘Maisha Magic Bongo’ ya DStv itakayozinduliwa Oct. 1

Zimebaki siku tatu Channel mpya ya Maisha Magic Bongo ya DStv ambayo ni maalum kwa Tanzania izinduliwe rasmi Octoba 1, 2015. Vipindi vitakavyokuwa vikioneshwa kwenye channel hiyo ni vile vitakavyokuwa vimeandaliwa kwaajili ya soko la Tanzania. Channel hiyo itaonekana kupitia DStv Channel 160. Hii ni ratiba ya vipindi vitakavyoonekana kwenye channel hiyo kuanzia Alhamisi hii […]

 

9 years ago

Dewji Blog

MAISHA MAGIC BONGO: Imefika mpya kutoka M-NET kuwalenga Watanzania ndani ya DSTV chaneli 160!

DSC_2017

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania, Barbara Kambogi, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa Chaneli mpya ya Maisha Magic Bongo ambayo inaanza kuonekana leo Oktoba Mosi kupitia DSTV Chaneli 160, kwa wateja wa DStv. Kushoto ni Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu na kulia ni Mwendeshaji Mkuu wa M-NET kwa Afrika Mashariki, Bi Lisa Venter. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).

DSC_2025Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania,...

 

10 years ago

Bongo5

M-Net kuifunga Maisha Magic, kurudisha nguvu kwenye Maisha Magic Swahili

Kampuni ya M-Net imeamua kuchukua uamuzi mgumu kwa kutangaza kuwa itaifunga channel yake iliyoanzishwa mwaka jana, Maisha Magic. Sababu za kuifunga, ni kutokana na kushindwa kufanya vizuri kama ilivyokuwa ikitarajiwa. Channel ya Maisha Magic itafungwa mwishoni mwa March 2015. “Bahati mbaya, Maisha Magic haijafanikiwa na kukua kama matarajio yetu yalivyokuwa. Kwa jumla, channel ilishindwa kufikia […]

 

10 years ago

Bongo5

6 legends; 6 stars; 1 spotlight: Maisha Magic kuja na shindano la muziki ‘Maisha Supastar’

Kituo cha televisheni cha Maisha Magic cha DSTV, kinatarajia kuja na shindano kubwa la kusaka vipaji vya muziki Afrika Mashariki, ‘Maisha Superstar’. “This will be the revolutionary Talent Search Show East Africa has ever had. For the first time viewers will experience the real science behind making a platinum selling music act,” wameandika kwenye website […]

 

9 years ago

TheCitizen

From a thousand stars to Maisha Magic Bongo

But it was not all fun and games. With journalists coming from almost every corner of Africa there were bound to be some thorny issues at hand.

 

10 years ago

Dewji Blog

Maisha Magic Swahili to Expand Content Offering

MM-logo-1200x930-1411459456

 

 Maisha Magic Swahili will from June 1st expand its content offering to include more shows and movies with an appeal to the wider East African target audience.

The Channel which currently broadcasts Swahili series and bongo films targeted at the Tanzanian market and the East African Swahili speaking coastal region, is poised to commence airing other shows that also appeal to both Ugandan and Kenyan TV viewers while at the same time improving on the content offering to the Tanzanian...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani