Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


M-Net kuifunga Maisha Magic, kurudisha nguvu kwenye Maisha Magic Swahili

Kampuni ya M-Net imeamua kuchukua uamuzi mgumu kwa kutangaza kuwa itaifunga channel yake iliyoanzishwa mwaka jana, Maisha Magic. Sababu za kuifunga, ni kutokana na kushindwa kufanya vizuri kama ilivyokuwa ikitarajiwa. Channel ya Maisha Magic itafungwa mwishoni mwa March 2015. “Bahati mbaya, Maisha Magic haijafanikiwa na kukua kama matarajio yetu yalivyokuwa. Kwa jumla, channel ilishindwa kufikia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAISHA MAGIC BONGO IMEFIKA! CHANELI MPYA INAYOZINDULIWA NA M-NET KUWALENGA WATANZANIA.

Kampuni inayoongoza kwa burudani barani Afrika, M-Net inazindua chaneli mpya yenye  kulenga watanzania, itakayokuwa na burudani mbali mbali zenye hadhi ya Kitanzania,  ni  MAISHA MAGIC BONGO itakayoanza kuonekana hewani Octoba 1 saa 10 Alasiri.   Moja ya madhumuni ya M-Net ni kuhakikisha inalifikia soko la wateja wake ikiwemo kuingiza maudhui wanayopenda wateja wake. Chaneli hii mpya inategemea kukidhi mahitaji ya soko la wateja wa Tanzania. Ikihusisha vipindi zaidi ya 6 vitakavyokuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maisha Magic Swahili to Expand Content Offering

MM-logo-1200x930-1411459456

 

 Maisha Magic Swahili will from June 1st expand its content offering to include more shows and movies with an appeal to the wider East African target audience.

The Channel which currently broadcasts Swahili series and bongo films targeted at the Tanzanian market and the East African Swahili speaking coastal region, is poised to commence airing other shows that also appeal to both Ugandan and Kenyan TV viewers while at the same time improving on the content offering to the Tanzanian...

 

9 years ago

Bongo5

M-Net kuzindua channel mpya maalum kwa Tanzania, Maisha Magic Bongo (October 1)

Wasanii wa muziki na filamu pamoja na mashabiki wa Tanzania wana kila sababu ya kufurahia kwasababu M-Net imetangaza kuzindua channel mpya maalum kwa Tanzania, itakayoitwa Maisha Magic Bongo. Channel hiyo itazinduliwa Alhamisi ya October 1, 2015 na kupatikana kupitia DStv Channel 160. Mkurugenzi wa M-Net wa kanda ya Afrika mashariki na kusini, Theo Erasmus amevitaja […]

 

9 years ago

Dewji Blog

MAISHA MAGIC BONGO: Imefika mpya kutoka M-NET kuwalenga Watanzania ndani ya DSTV chaneli 160!

DSC_2017

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania, Barbara Kambogi, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa Chaneli mpya ya Maisha Magic Bongo ambayo inaanza kuonekana leo Oktoba Mosi kupitia DSTV Chaneli 160, kwa wateja wa DStv. Kushoto ni Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu na kulia ni Mwendeshaji Mkuu wa M-NET kwa Afrika Mashariki, Bi Lisa Venter. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).

DSC_2025Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania,...

 

10 years ago

Bongo5

6 legends; 6 stars; 1 spotlight: Maisha Magic kuja na shindano la muziki ‘Maisha Supastar’

Kituo cha televisheni cha Maisha Magic cha DSTV, kinatarajia kuja na shindano kubwa la kusaka vipaji vya muziki Afrika Mashariki, ‘Maisha Superstar’. “This will be the revolutionary Talent Search Show East Africa has ever had. For the first time viewers will experience the real science behind making a platinum selling music act,” wameandika kwenye website […]

 

9 years ago

TheCitizen

From a thousand stars to Maisha Magic Bongo

But it was not all fun and games. With journalists coming from almost every corner of Africa there were bound to be some thorny issues at hand.

 

10 years ago

Bongo5

Salama Jabir na Malonza (Kenya) kuja na show mpya Maisha Magic

Huenda mashabiki wa Salama Jabir hawataishia kumuona kwenye kipindi cha Mkasi peke yake. Staa huyo anaonekana kuungana na aliyewahi kuwa mwakilishi wa Kenya kwenye Big Brother Stargame, Malonza Chege kwenye kipindi kipya Maisha Magic ambacho hakijajulikana kitaitwaje.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani