Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msanii wa vichekesho Bill Cosby matatani

Mahakama ya Califonia nchini Marekani imeamuru kesi ya unyanyasaji wa ngono inayomkabili msanii wa vichekesho Bill Cosby iendelee

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Bill Cosby: Wanawake wananisingizia!

Msanii wa Marekani Bill Cosby amewasilisha mashtaka ya kisheria akidai baadhi ya wanawake waliomshtaki walimsingizia wapate fedha

 

9 years ago

BBCSwahili

Bill Cosby ashtakiwa dhulma ya kimapenzi

Waendesha mashitaka katika jimbo la Pennsylvania Marekani wamemfungulia mashtaka ya kwanza mcheshi nguli Bill Cosby .

 

10 years ago

BBCSwahili

Bill Cosby ashutumiwa kuwa mdhalilishaji

Mchekeshaji na muigizaji maarufu Bill Cosby ashutumiwa kuwadhalilisha Wanawake kijinsia

 

5 years ago

Raia Mwema

Mikosi tata ilivyomwandama Bill Cosby – 3

WAKATI polisi wakiendelea na uchunguzi wa kifo cha mwanaye, Bil Cosby alikuwa bado akiandamwa na

Shaban Kaluse

 

10 years ago

BBCSwahili

Sanamu ya Bill Cosby yaondolewa Disney

Sanamu hii ni moja ya maonyesho katika bustani ya Disney Hollywood, mjini Florida ya kuwatambua waigizaji maarufu

 

5 years ago

Michuzi

MSANII WA VICHEKESHO, IDRIS SULTAN KIZIMBANI KWA KOSA LA KUCHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI

 Msnii wa vichekesho nchini, Idris Sultan akiwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo.MSANII wa vichekesho nchini, Idris Sultan na wenzake wawili wamefikishwa leo Machi 20,2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wakikabiliwa na kosa moja la kuchapisha maudhui mtandaoni bila kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni Doctor Ulimwengu na Isihaka Mwinyimvua ambapo wote kwa pamoja walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa...

 

11 years ago

Michuzi

Regional Electronic Bill in the offing …House grants Hon Dr. James Ndahiro leave to introduce Private Members Bill

image001 East African Legislative Assembly
East African Legislative Assembly, Arusha, June 5, 2014: At the just ended Sixth meeting of the 2nd Session, EALA has granted Hon Dr James Ndahiro leave to introduce a Private Members’ Bill on Electronic transactions. The Bill is known as the EAC Electronic Transactions Bill, 2014. The object of this Bill is to make provision for the use, security, facilitation and regulation of electronic communications and transactions, to encourage the use of...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maonyesho zaidi ya Cosby yaahirishwa

Maonyesho yaliyokuwa yafanywe na Mchekeshaji na muigizaji Bill Cosby yameahirishwa kutokana na shutuma za udhalilishaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushahidi wa Cosby watumika dhidi yake

Bill Cosby alikiri miaka kumi iliyopita kununua tembe za kulewesha kuwapa wanawake ambao alitaka kushiriki ngono nao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani