Kilosa kutema 721 kidato 1 kwa kukosa madarasa
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro imekumbwa na upungufu wa vyumba vya madarasa na kusababisha wanafunzi 721 sawa na asilimia 20.4, waliofaulu mtihani wa darasala saba kushindwa kuchaguliwa kutokana na kukosa nafasi katika shule zilizoko kwenye maeneo yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA RAJAB MSABAHA KAUZELA AENDELEA NA ZIARA ZA UFUNGUZI WA MATAWI YA CHADEMA JIMBONI KILOSA
Mwanachama wa CHADEMA akiandaa bendera tayari kwa ufunguzi wa Tawi la Chadema Jimboni KilosaMtia ni wa Ubunge Kilosa Ndugu Rajab Msabaha Kauzela akipandisha bendera kama ishara ya ufunguzi wa Tawi la Chadema katika mwendelezo wa ziara zake za ufunguzi wa matawi ili kujenga chama Jimboni KilosaWananchi waliofurika kushuhudia ufunguzi wa Tawi Jipya la Chadema moto wa gesi Jimboni KilosaNdugu Kauzela akihutubia wakazi wa Kilosa katika ufunguzi wa Tawi la CHADEMA Jimboni KilosaNdugu Kauzela...
10 years ago
VijimamboMTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA KUPITIA CHADEMA NDUGU RAJAB MSABAHA KAUZELA AANZA RASMI SAFARI YAKE YA KUWAKOMBOA WANA-KILOSA
Rajab Msabaha Kauzela mtia nia wa Ubunge Jimbo la Kilosa ambaye pia alikuwa Katibu Mwenezi wa Tawi a CHADEMA Washington DCRajab Msabaha Kauzela (wa nne kutoka kushoto) akiwa na mnadhimu wa kambi ya upinzani ambaye pia ni mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu (wa tatu kutoka kushoto) pamoja na viongozi wengine wa chadema Morogoro.Rajab Msabaha Kauzela akiwahutubia wakazi wa Kilosa waliokusanyika kumsikiliza katika mkutano wa hadhara, akielezea mikakati yake endapo wana-Kilosa...
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Chekibudi afikiria kutema uigizaji
MSANII wa siku nyingi katika tasnia ya filamu, Mohamed Nurdin ‘Chekibudi, amesema mwaka huu 2013 kwake ulikuwa mbaya kutokana na kushindwa kuachia kazi hata moja sokoni jambo linalomfanya kufikiria kuachana...
9 years ago
VijimamboMADARASA YA LUGHA YA KISWAHILI KWA MUHULA WA PILI WA MWAKA 2015
Welcome to Swahili Class provided by Tanzanian Community in DMV. Our classes provide a foundation in listening, speaking, reading, and writing the basic to advanced grammatical structures and vocabulary. No prior knowledge of the language is required. During the courses, students engage in short conversation and communicative tasks, such as, greetings, introduction, daily routines, shopping, etc. Students learn to comprehend short and simple utterances about topics pertaining to basic...
9 years ago
Michuzi9 years ago
Michuzi10 years ago
VijimamboMAMA SALMA KIKWETE AKABIDHI SAMPULI ZA MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI MADARASA YA AWALI LINDI MJINI
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na binti Naida Seleman anayesoma darasa la awali katika Shule ya Msingi ya Rahaleo mara baada ya Mama Salma kukabidhi sampuli za madawati aliyoyatoa kwenye Shule za Manispaa ya Lindi Mjini tarehe 15.12.2014.Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akikabidhi sampuli za madawati yaliyotolewa na Taasisi ya WAMA kwa Afisaelimu wa Mkoa wa Lindi Ndugu Gift Kyando kwa ajili ya Shule za Msingi zenye madarasa ya awali katika Manispaa ya Lindi...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Jimbo la Kano Nigeria lampata Amir mpya baada ya kutimuliwa kwa mtangulizi wake kwa 'kukosa heshima'
Muhammadu Sanusi wa II aliondolewa ili kuulinda utamaduni wa ufalme wa Kano, kwa mujibu wa serikali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania