Simba SC: Tutazuia ubingwa wa Yanga Aprili 19
![](http://api.ning.com:80/files/Q4Epy2fSOlvdt0XyPF0c8fBqqkEwVMvsh257t9QKiMg4-*QTTgejsn9Nz9qZTY0x*q-G3TuWEaIWDZL*jjcqTFTziQaNVhhq/simba.jpg?width=650)
Katibu wa Simba Ezekiel Kamwaga. Mohammed Mdose na Said Ally TIMU ya Simba imesema itahakikisha inaibuka na ushindi kwenye mchezo dhidi ya watani wao Yanga. Yanga na Simba watakutana Aprili 19 mwaka huu mchezo ambao ni muhimu kwa Yanga kwani iwapo watashinda wanaweza kujihakikishia nafasi ya kutwaa ubingwa wa bara kwa msimu wa pili mfululizo. Akizungumza na Championi Jumatano, Katibu wa Simba Ezekiel Kamwaga, alisema baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Simba, Yanga Aprili 19
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*phjJk2ZI4LlyijnwgoqawFlC6kt1D*BWut5g*z2gvK-JQUWC0ptjC33xriqBhNe7b4f0PYzp0sEQ2Wzt2XdxcH/yanga2.jpg?width=650)
Aliyeinyima ubingwa Yanga, atua Simba
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Mkude awazia ubingwa Simba
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Yanga yanyatia ubingwa
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Ubingwa wanukia Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UBINGWA huoo…! Ndiyo, timu ya Yanga ambayo imeusogelea kwa karibu ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.
Baada ya ushindi huo, vinara hao wamefikisha pointi 46 na kuzidisha pengo la pointi baina yake na Azam inayomfuatia ambalo limefikia pointi nane.
Yanga iliyotoka kuichapa Coastal Union mabao 8-0, ilianza kwa kasi kubwa mchezo huo na kupata bao dakika tano lililofungwa na...
10 years ago
Mwananchi14 Jul
MALENGO: Kerr aota ubingwa Simba