Yanga SC hii, ubingwa lazima
Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia.
Khadija Mngwai, Dar es Salaam
YANGA imeondoka jana saa 4:00 asubuhi kwenda Zanzibar tayari kwa Kombe la Mapinduzi. Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Juma Mwambusi amesema kwa kikosi walichonacho ni lazima watwae ubingwa.
Kesho Jumapili saa 10:30 jioni kwenye Uwanja wa Amaan, Yanga itacheza na Mafunzo katika mchezo wa Kundi B la michuano hiyo. Timu nyingine za Kundi B ni Azam FC na Mtibwa Sugar.
Kikosi cha Yanga kiliwasili salama jana mchana Zanzibar na...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Yanga yanyatia ubingwa
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Ubingwa wanukia Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UBINGWA huoo…! Ndiyo, timu ya Yanga ambayo imeusogelea kwa karibu ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.
Baada ya ushindi huo, vinara hao wamefikisha pointi 46 na kuzidisha pengo la pointi baina yake na Azam inayomfuatia ambalo limefikia pointi nane.
Yanga iliyotoka kuichapa Coastal Union mabao 8-0, ilianza kwa kasi kubwa mchezo huo na kupata bao dakika tano lililofungwa na...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Rwanda yatwaa ubingwa Cecafa, waandika historia hii
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Timu ya taifa ya Uganda (The Cranes -Pichani) imetwaa ubingwa wa mashindano ya Cecafa Senior Challenge yanayohusisha timu za Afrika Mashariki na Kati baada ya kuifunga timu ya taifa ya Rwanda goli 1 kwa bila.
Katika mchezo huo ulionekana wa kushambuliana kwa zamu timu ya Uganda ilipata goli lake la ushindi kupitia kwa mchezaji wake Caecer Okhuti katika dakika ya 15 goli ambalo limedumu hadi dakika ya mwisho ya mchezo huo.
Baada ya ushindi huo Uganda imezidi kutamba...
10 years ago
Mwananchi11 May
Sababu 10 zilizoipa Yanga Ubingwa
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Yanga kutangaza ubingwa Jumatatu
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Azam yaiachia ubingwa Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*phjJk2ZI4LlyijnwgoqawFlC6kt1D*BWut5g*z2gvK-JQUWC0ptjC33xriqBhNe7b4f0PYzp0sEQ2Wzt2XdxcH/yanga2.jpg?width=650)
Aliyeinyima ubingwa Yanga, atua Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q4Epy2fSOlvdt0XyPF0c8fBqqkEwVMvsh257t9QKiMg4-*QTTgejsn9Nz9qZTY0x*q-G3TuWEaIWDZL*jjcqTFTziQaNVhhq/simba.jpg?width=650)
Simba SC: Tutazuia ubingwa wa Yanga Aprili 19
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Yanga yachanja mbuga ubingwa Bara