Uchaguzi Yanga wanukia Agosti
Uchaguzi wa Yanga huenda ukafanyika Agosti badalao ya Juni 15, kutokana na Kamati ya Uuchaguzi ya klabu hiyo kulazimika kufuata mwongozo wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Ubingwa wanukia Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UBINGWA huoo…! Ndiyo, timu ya Yanga ambayo imeusogelea kwa karibu ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.
Baada ya ushindi huo, vinara hao wamefikisha pointi 46 na kuzidisha pengo la pointi baina yake na Azam inayomfuatia ambalo limefikia pointi nane.
Yanga iliyotoka kuichapa Coastal Union mabao 8-0, ilianza kwa kasi kubwa mchezo huo na kupata bao dakika tano lililofungwa na...
11 years ago
GPL
Wazambia wanukia Yanga SC
10 years ago
Michuzi
UBINGWA YANGA WANUKIA, YAONGOZA 2-0 DHIDI YA POLISI MORO




10 years ago
Michuzi19 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU
10 years ago
MichuziUbingwa wanukia kwa Yanga, yaichapa Ruvu Shooting bao 5-0 leo
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande).

Juma Abdul (kushoto) akichuana na beki...
11 years ago
Mwananchi21 May
Azam, Yanga kukata utepe Agosti 16
10 years ago
Mwananchi06 Apr
ACT: Tunajipanga kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Agosti
11 years ago
Michuzi
FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando,
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
Msama amesema kuwa baada ya albamu...