Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi Yanga wanukia Agosti

Uchaguzi wa Yanga huenda ukafanyika Agosti badalao ya Juni 15, kutokana na Kamati ya Uuchaguzi ya klabu hiyo kulazimika kufuata mwongozo wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ubingwa wanukia Yanga

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

UBINGWA huoo…! Ndiyo, timu ya Yanga ambayo imeusogelea kwa karibu ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.

Baada ya ushindi huo, vinara hao wamefikisha pointi 46 na kuzidisha pengo la pointi baina yake na Azam inayomfuatia ambalo limefikia pointi nane.

Yanga iliyotoka kuichapa Coastal Union mabao 8-0, ilianza kwa kasi kubwa mchezo huo na kupata bao dakika tano lililofungwa na...

 

11 years ago

GPL

Wazambia wanukia Yanga SC


Na Hans Mloli
USAJILI unazidi kushika kasi Ligi Kuu Bara ambapo sasa Yanga SC wameamua kuzigeukia klabu za Zambia kwa ajili ya kufanya usajili wa baadhi ya wachezaji wanaowataka. Imeelezwa kuwa Yanga wanatafuta straika mmoja matata kwa ajili ya msimu ujao, hivyo tayari kuna harakati zimeanza kufanyika na mawasiliano yakiendelea kwa ajili ya kunyakua straika mmoja kutoka timu ya Nkana Red Devils aliyowahi kucheza straika wa...

 

10 years ago

Michuzi

UBINGWA YANGA WANUKIA, YAONGOZA 2-0 DHIDI YA POLISI MORO

 Simon Msuva (kushoto) akishangilia na Amis Tambwe baada ya Tabwe kuipatia timu yake bao la katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara unaoendelea kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Mashabiki wa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Amis Tambwe. Mshambuliaji Wa Yanga, Simon Msuva akimtoka beki wa Polisi Moro, Hassan Mganga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Shabiki wa Yanga...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI         KAMATI ya uchaguzi DRFA inaelekeza kamati ya uchaguzi ya TEFA kufanya uchaguzi wa viongozi,jumapili tarehe 23/08/2015 katika ukumbi wa JKT kama ilivyopangwa kufanyika hapo awali.Kamati pia inapenda  kuutarifu umma kuwa mchakato huu una Baraka zote kutoka TFF,hivyo uingiliaji wowote unakwenda kinyume na ibara ya 6(1)ya kanuni za uchaguzi za TFF 2013 na ibara za 52(6) na 56(6)(a) za katiba ya TFF ambazo zinaelekeza kuwa majukumu ya uchaguzi yapo chini ya...

 

10 years ago

Michuzi

Ubingwa wanukia kwa Yanga, yaichapa Ruvu Shooting bao 5-0 leo


Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande). Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akimpiga kanzu mchezaji wa Ruvu Shooting, Abdulahman Musa, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 5-0. 
Juma Abdul (kushoto) akichuana na beki...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam, Yanga kukata utepe Agosti 16

>Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC watafungua pazia la ligi msimu ujao 2014/2015 kwa kuivaa Yanga kati ya Agosti 16 na 17 katika mchezo wa Ngao ya Jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

ACT: Tunajipanga kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Agosti

>Chama cha ACT- Tanzania, kimesema hakina muda wa kufanya siasa za chuki na malumbamo dhidi ya vyama vingine vya siasa, badala yake kinajipanga vizuri na kuandaa mazingira ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao.

 

11 years ago

Michuzi

FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA


Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando, 
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
 Msama amesema kuwa baada ya albamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani