Wazambia wanukia Yanga SC
![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBInDKecIiweU-EY1H7txVNYg*k3o1uKosae75-*h0TZiSBYnBbobqaco*PebGgkWSw3G9iodIV9v8uOqzB06BIvN/wazambia.jpg?width=650)
Na Hans Mloli USAJILI unazidi kushika kasi Ligi Kuu Bara ambapo sasa Yanga SC wameamua kuzigeukia klabu za Zambia kwa ajili ya kufanya usajili wa baadhi ya wachezaji wanaowataka. Imeelezwa kuwa Yanga wanatafuta straika mmoja matata kwa ajili ya msimu ujao, hivyo tayari kuna harakati zimeanza kufanyika na mawasiliano yakiendelea kwa ajili ya kunyakua straika mmoja kutoka timu ya Nkana Red Devils aliyowahi kucheza straika wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Ubingwa wanukia Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UBINGWA huoo…! Ndiyo, timu ya Yanga ambayo imeusogelea kwa karibu ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jana.
Baada ya ushindi huo, vinara hao wamefikisha pointi 46 na kuzidisha pengo la pointi baina yake na Azam inayomfuatia ambalo limefikia pointi nane.
Yanga iliyotoka kuichapa Coastal Union mabao 8-0, ilianza kwa kasi kubwa mchezo huo na kupata bao dakika tano lililofungwa na...
11 years ago
Mwananchi25 May
Uchaguzi Yanga wanukia Agosti
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s72-c/1.jpg)
UBINGWA YANGA WANUKIA, YAONGOZA 2-0 DHIDI YA POLISI MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-zWR544iNvLw/VT5F4U-rohI/AAAAAAABYCs/DagOyJU4tH0/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3qF5arxuyb0/VT5FqAw_1uI/AAAAAAABYCc/_vI0qgaaY5g/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nGLNQDZ1Pdo/VT5FwwOv5vI/AAAAAAABYCk/dh0LdXeS86U/s1600/3..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gAylGNOAXg/VT5F7XdoHRI/AAAAAAABYC0/gt5d6pj1ASk/s1600/4.jpg)
10 years ago
MichuziUbingwa wanukia kwa Yanga, yaichapa Ruvu Shooting bao 5-0 leo
Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, akishangilia bao aliloifungia timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 5-0. (Picha na Francis Dande).
![](http://3.bp.blogspot.com/-_815IVohPwo/VTplBhnrmCI/AAAAAAABXqc/PlFdpnBSLqY/s1600/2.jpg)
Juma Abdul (kushoto) akichuana na beki...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
PHD aungana na Wazambia kumuenzi Kanumba
STAA wa filamu, Hemed Suleiman ‘PHD’ amerejea nchini juzi akitokea Zambia alikokuwa akitengeneza filamu na wasanii wa huko kwa ajili ya kumuenzi nguli wa filamu za Bongo, marehemu Steven Kanumba....
10 years ago
Habarileo07 May
Wazambia wasema Tanzania itaendelea kuwa ya amani
WATANZANIA wameelezwa kuwa nchi yao itaendelea kuwa na amani huku maslahi ya taifa yakilindwa, endapo vyombo vya habari vya ndani vitafanya kazi yake kwa kuzingatia maadili na mipaka ya uhuru wa habari.
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Rais Lungu ana ‘kibarua’ kutimiza ahadi lukuki alizotoa kwa Wazambia
10 years ago
Mwananchi05 Mar
Urais wa Zanzibar wanukia Pemba