Ufisadi mwingine waibuliwa bandarini Dar
Serikali imepoteza jumla ya Sh48.47bilioni baada ya makontena 11,884 na magari 2,019 kupitishwa badarini Dar es Salaam bila kulipiwa kodi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Ufisadi wa kutisha waibuliwa
9 years ago
Habarileo30 Dec
Ufisadi mwingine waibuka bandarin
MAKONTENA mengine 11,884 na magari 2,019, yamebainika kuwa yametoroshwa katika bandari kavu (ICD) saba jijini Dar es Salaam bila kulipiwa ushuru wa bandari, hivyo kuipotezea Serikali mapato ya Sh bilioni 48.55.
10 years ago
Mwananchi30 Jan
PAC yaibua ufisadi mwingine
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Ufisadi: mwingine asimamishwa Tanzania
10 years ago
Habarileo12 Mar
‘Ufisadi mwingine wa mil 700/- wanukia Nishati’
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa maelekezo kwa Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kufanya uchunguzi wa Sh milioni 699 zinazodaiwa kutolewa na Wizara ya Nishati na Madini kwenda Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ambazo zinaonekana kuyeyuka katika mazingira yasiyoeleweka.
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Makontena 31 ya magogo yakamatwa bandarini Dar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeGO-slOeZmeh12mPZRT*X-ubqAQOXDPuXzdZoMs4hbToK-etb0*NTiFAo8hR0NwLlegsdayZsW4Kx5JSGViSnWq/Waziri.jpg?width=650)
WAZIRI WA FEDHA,ATINGA BANDARINI DAR GHAFLA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9jkO6HskcTo/VZkRFsj31vI/AAAAAAAHnEA/KzOi57JhlVw/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
ujumbe wa Benki ya Dunia wafanya ziara Bandarini jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-9jkO6HskcTo/VZkRFsj31vI/AAAAAAAHnEA/KzOi57JhlVw/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Waziri wa Magufuli kaapishwa jana, leo kaibuka na ‘jipu’ jingine la makontena bandarini Dar
Headlines kwenye vyombo vya habari zinabebwa na neno ‘jipu’ au ‘majipu’ kutokana na kauli na ahadi ya Rais Magufuli kwamba lazima atumbue majipu ya ufisadi na ubadhirifu Serikalini. Tuliyapata ya upotevu wa makontena zaidi ya 2,000 bandarini ambayo yalitoroshwa bila kulipia ushuru, Serikali ikaamua baadhi ya watumishi wakamatwe na kesi zao zinaendelea Mahakamani… kingine kilichoripotiwa […]
The post Waziri wa Magufuli kaapishwa jana, leo kaibuka na ‘jipu’ jingine la makontena bandarini Dar...