‘Mliokopeshwa matrekta Suma lipeni haraka’
Serikali imewataka watu waliokopa matrekta kutoka Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SumaJKT), kulipa madeni yao mara moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
TUCTA: Tazara lipeni wafanyakazi
RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Gratian Mukoba ameitaka Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) kuwalipa wafanyakazi wake malimbikizo ya mishahara ya miezi mitano ndani ya...
11 years ago
Habarileo26 Dec
‘Polisi, Magereza lipeni bili za maji’
MKUTANO mkuu wa wanahisa wa watumia maji Kiliwater, umeagiza watu binafsi na taasisi za serikali, ikiwemo Jeshi la Polisi na Magereza kulipa madeni yao yanayofikia zaidi ya Sh milioni 20, kutokana na kuwa kikwazo cha kudhoofisha huduma ya maji wilayani Rombo.
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
‘Wafanyabiashara lipeni kodi kwa wakati’
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda, amewataka wafanyabiashara nchini kulipa kodi kwa wakati. Dk. Kigoda alitoa wito huo mwishoni mwa wiki wakati wa ufungunzi wa ukumbi wa mikutano...
10 years ago
Habarileo26 Oct
Kondoa, Mbarali wapewa matrekta
WA K U L I M A wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma na Mbarali mkoani Mbeya, wamekabidhiwa matrekta manne ambayo ni mkopo kutoka kwa kituo cha kusambaza matrekta kwa wakulima cha Kariati Matrekta, huku wakitakiwa kuyatumia katika kuleta maendeleo katika kilimo.
10 years ago
Michuziwakulima 7 wakabidhiwa matrekta leo
funguo za trekta kwa Mwalimu wa Shule ya msingi Kwadelo Bw. Hamza Haji,matrekta saba yalikabidhiwa leo kwa wakulima chini ya usimamizi wa
Diwani wa Kwadelo Alhaji Omari Kariati.(Picha na Adam Mzee) Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akikabidhi funguo za trekta kwa Dk. Edmund Mndolwa ambaye ni Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa ikiwa sehemu ya matrekta saba yaliotolewa na Alhaji Omari Kariati Diwani wa...
11 years ago
Habarileo09 Mar
‘Msitoze riba mikopo ya matrekta’
SERIKALI imeziagiza kampuni zinazokopesha vifaa vya kilimo yakiwemo matrekta madogo (power tiller) na makubwa kwa wakulima, kuacha mara moja kutoza riba kwa mikopo kwa vile vifaa hivyo vimefutiwa kodi. Katika hatua nyingine, serikali nayo imeombwa kuondoa ushuru wa kodi kwa matela ya matrekta, hususani ya power tiller ili kuwapunguzia gharama za ununuzi wakulima hatua itakayoharakisha mipango ya kuingia kwenye kilimo cha kisasa.
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Equator SumaJKT kuleta matrekta nchini
KAMPUNI ya Equator SumaJKT imesaini mkataba wa ushirikiano wa kuleta matrekta nchini wenye thamani ya dola milioni 70 na Kampuni ya Farmer kutoka nchini Poland. Akizungumza na waandishi wa habari...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Tanzania sasa mbioni kuzalisha matrekta
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Kiwanda cha matrekta kujengwa Tanzania