David Cameron akwepa mdahalo wa pili
viongozi wa vyama vitano vya upinzani wameshiriki katika mdahalo wa pili wa moja kwa moja ulioandaliwa na BBC.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
David Cameron: Awamu mbili zatosha!!
10 years ago
GPLDAVID CAMERON AELEKEA KUSHINDA UCHAGUZI MKUU UINGEREZA
10 years ago
StarTV14 Apr
Miliband asema yuko tayari kumrithi David Cameron.
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour nchini Uingereza, Ed Miliband amesema chama cha Labour kitabadili namna nchi inavyoendeshwa na nani wa kuiendesha.”
Miliband amesema hayo wakati akizindua ilani ya uchaguzi ya chama hicho.
Amesema amepimwa kama kiongozi wa upinzani na yuko tayari kwa wadhifa huo, Bwana Miliband amesema chama cha Labour kitakuwa “chama cha mabadiliko na uwajibikaji”.
Amekataa “orodha ya mapendekezo”, yakihakikisha kuwa sera zote hazitahitaji ukopaji wa ziada.
Lakini...
10 years ago
VijimamboBritish Election: David Cameron Wins Surprise Victory for Conservatives
LONDON - Prime Minister David Cameron enjoyed a surprise triumph in the British election Friday as his Conservative Party won a narrow outright victory over a faltering opposition.
The result lifted a fog of uncertainty but leaves Britain facing two constitutional crises: a potentially damaging referendum on whether to quit the European Union, and renewed pressure from Scottish nationalists who want to leave the 300-year-old United Kingdom.
The opposition Labour Party took a beating, with its...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Mwalimu aliyefumaniwa akwepa hukumu
MWALIMU wa Shule ya Msingi Katani wilayani Nkasi, Rukwa Ringtone Rayson (36) amehukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya sh 100,000 kwa makosa ya kufumaniwa na kumjeruhi mume...
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Snura akwepa ‘viroba’ stejini
NA RHOBI CHACHA
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii wa filamu na muziki, Snura Mushi, alijikuta akirushiwa pombe zilizokuwa katika vifuko vidogo maarufu viroba akiwa jukwaani kama njia ya kumshangilia kwa uchezaji wake.
Snura alipanda jukwaani na kuimba wimbo wake ulioshika chati nchini wa ‘Nimevurugwa’ katika onyesho la miaka 16 ya msanii Juma Nature lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini.
Snura akiwa jukwaani, shabiki mmoja alimfuata na kumtunza kiroba kisha idadi...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Maxime akwepa zigo la lawama Mtibwa
11 years ago
Mwananchi14 May
Waziri akwepa hoja, amshambulia Lissu