Mwalimu aliyefumaniwa akwepa hukumu
MWALIMU wa Shule ya Msingi Katani wilayani Nkasi, Rukwa Ringtone Rayson (36) amehukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya sh 100,000 kwa makosa ya kufumaniwa na kumjeruhi mume...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Mar
Mwalimu aliyefumaniwa akajeruhi atwangwa faini
MWALIMU wa Shule ya Msingi Katani, Lingston Nelson (36) amelipa faini ya Sh 400,000 baada ya kujeruhi kwa panga na msumeno katika tukio la kufumaniwa na mke wa mtu. Mwalimu huyo ametiwa hatiani na Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Nkasi, mkoani Rukwa, Ramadhan Mgamalila.
11 years ago
Habarileo17 Mar
Aliyefumaniwa atupwa miaka 5 jela
MKAZI wa Kijiji cha Kasokola wilayani Mlele, Makanga Vipawa (43) aliyefumaniwa na mke wa mtu akifanya mapenzi shambani mwa mume wa mwanamke huyo, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kuua bila kukusudia.
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Snura akwepa ‘viroba’ stejini
NA RHOBI CHACHA
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii wa filamu na muziki, Snura Mushi, alijikuta akirushiwa pombe zilizokuwa katika vifuko vidogo maarufu viroba akiwa jukwaani kama njia ya kumshangilia kwa uchezaji wake.
Snura alipanda jukwaani na kuimba wimbo wake ulioshika chati nchini wa ‘Nimevurugwa’ katika onyesho la miaka 16 ya msanii Juma Nature lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini.
Snura akiwa jukwaani, shabiki mmoja alimfuata na kumtunza kiroba kisha idadi...
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
David Cameron akwepa mdahalo wa pili
11 years ago
Mwananchi14 May
Waziri akwepa hoja, amshambulia Lissu
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Mchungaji akwepa kula panya na nyoka
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Maxime akwepa zigo la lawama Mtibwa
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Akwepa Polisi kwa kukimbia kilomita nane
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8xK5LEJJHwU/XmjQUK9EPTI/AAAAAAALilo/2jZDj7auqUsukbWHhZdiu-2K9c3JAek1wCLcBGAsYHQ/s72-c/POLE%2B2.jpg)
CCM YAMLIPIA FAINI DKT. MASHINJI, AKWEPA KIFUNGO
Mashinji ambaye awali alikuwa Katibu Mkuu wa Chadema kabla ya hivi karibuni kuhamia CCM, pamoja na Viongozi nane wa Chadema wote kwa pamoja walihukumiwa kulipa faini ya...