Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwalimu aliyefumaniwa akwepa hukumu

MWALIMU wa Shule ya Msingi Katani wilayani Nkasi, Rukwa Ringtone Rayson (36) amehukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya sh 100,000 kwa makosa ya kufumaniwa na kumjeruhi mume...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mwalimu aliyefumaniwa akajeruhi atwangwa faini

MWALIMU wa Shule ya Msingi Katani, Lingston Nelson (36) amelipa faini ya Sh 400,000 baada ya kujeruhi kwa panga na msumeno katika tukio la kufumaniwa na mke wa mtu. Mwalimu huyo ametiwa hatiani na Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Nkasi, mkoani Rukwa, Ramadhan Mgamalila.

 

11 years ago

Habarileo

Aliyefumaniwa atupwa miaka 5 jela

MKAZI wa Kijiji cha Kasokola wilayani Mlele, Makanga Vipawa (43) aliyefumaniwa na mke wa mtu akifanya mapenzi shambani mwa mume wa mwanamke huyo, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kuua bila kukusudia.

 

10 years ago

Mtanzania

Snura akwepa ‘viroba’ stejini

snura1NA RHOBI CHACHA

KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii wa filamu na muziki, Snura Mushi, alijikuta akirushiwa pombe zilizokuwa katika vifuko vidogo maarufu viroba akiwa jukwaani kama njia ya kumshangilia kwa uchezaji wake.

Snura alipanda jukwaani na kuimba wimbo wake ulioshika chati nchini wa ‘Nimevurugwa’ katika onyesho la miaka 16 ya msanii Juma Nature lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini.

Snura akiwa jukwaani, shabiki mmoja alimfuata na kumtunza kiroba kisha idadi...

 

10 years ago

BBCSwahili

David Cameron akwepa mdahalo wa pili

viongozi wa vyama vitano vya upinzani wameshiriki katika mdahalo wa pili wa moja kwa moja ulioandaliwa na BBC.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri akwepa hoja, amshambulia Lissu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samia Suluhu Hassan alikataa kueleza walipo waasisi sita wa Muungano ambao kambi ya upinzani ilidai kuwa waliuawa na kuzikwa handaki moja, badala yake akatumia nafasi hiyo kumshambulia mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akidai hizo ni propaganda na upotoshaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchungaji akwepa kula panya na nyoka

Wafuasi wa chama cha Economic Freedom Fighters walitaka Pastor Penuel Mnguni, ale panya mbele ya Wafuasi wake

 

11 years ago

Mwananchi

Maxime akwepa zigo la lawama Mtibwa

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amekwepa mzigo wa lawama kwa kusema wachezaji wake ndiyo wanayo majibu ya swali kwa nini mwenendo wa timu hiyo hauridhishi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Akwepa Polisi kwa kukimbia kilomita nane

Mkimbiaji wa asili ya Kenya amekimbia umbali wa kilomita nane akikwepa Polisi nchini Marekani waliotaka kumhoji kuhusiana na tuhuma za udhalilishaji

 

5 years ago

Michuzi

CCM YAMLIPIA FAINI DKT. MASHINJI, AKWEPA KIFUNGO

BAADA ya jana, Machi 10,2020 Dkt. Vicent Mashinji kukutwa na hatia  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kuhukumiwa kulipa faini ya sh. Milioni 30 ama kwenda jela miezi mitano leo Machi 11 Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Dar es salaam  kimemlipia faini hiyo ya sh. Milioni 30 na kupewa kibali cha kwenda kumtoa gerezani.
Mashinji ambaye awali alikuwa Katibu Mkuu wa Chadema kabla ya hivi karibuni  kuhamia CCM, pamoja na Viongozi nane wa  Chadema wote kwa pamoja walihukumiwa kulipa faini ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani