Mwalimu aliyefumaniwa akajeruhi atwangwa faini
MWALIMU wa Shule ya Msingi Katani, Lingston Nelson (36) amelipa faini ya Sh 400,000 baada ya kujeruhi kwa panga na msumeno katika tukio la kufumaniwa na mke wa mtu. Mwalimu huyo ametiwa hatiani na Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Nkasi, mkoani Rukwa, Ramadhan Mgamalila.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Mwalimu aliyefumaniwa akwepa hukumu
MWALIMU wa Shule ya Msingi Katani wilayani Nkasi, Rukwa Ringtone Rayson (36) amehukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya sh 100,000 kwa makosa ya kufumaniwa na kumjeruhi mume...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxvd5Nxxk-j9B1sCpabAITCTtlToO*Of*AjXOhr6rEVrvU0cbo3bi6D4Vi1RMt6FiAxt873GtQqUCPHMASf19LBav/jackp.jpg)
JACK PATRICK ATWANGWA TALAKA AKIWA JELA
11 years ago
Habarileo17 Mar
Aliyefumaniwa atupwa miaka 5 jela
MKAZI wa Kijiji cha Kasokola wilayani Mlele, Makanga Vipawa (43) aliyefumaniwa na mke wa mtu akifanya mapenzi shambani mwa mume wa mwanamke huyo, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kuua bila kukusudia.
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Kwa mawasiliano nitumie email.
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Mwalimu adaiwa kumuua mwalimu mwenzake Kagera
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
FA yamtoza faini Mourinho
9 years ago
Habarileo09 Dec
Ukichafua Sumbawanga faini elfu 50/-
HALMASHAURI ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeonya kuwa itatoza faini ya Sh 50,000 kwa wakazi wa mjini Sumbawanga watakaobainika kutiririsha maji machafu ili kuhakikisha manispaa hiyo inabaki kuwa safi na salama.
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
UEFA yaitoza faini Celtic