Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akwepa Polisi kwa kukimbia kilomita nane

Mkimbiaji wa asili ya Kenya amekimbia umbali wa kilomita nane akikwepa Polisi nchini Marekani waliotaka kumhoji kuhusiana na tuhuma za udhalilishaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATUHUMIWA NANE KWA KOSA LA KUPATIKANA NA VIFAA VYA KUVUNJIA

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa nane 1. RASHID KAWAYE [46] Mkazi wa tabora magili, 2. EMMANUEL SIMON [30] Mkazi wa Musoma Serengeti 3. JOHN JAMES [35] Dereva na Mkazi wa Iringa Kihesa 4. LOVENESS EDWARD NJAU [27] Mama Ntilie na Mkazi wa Iringa Masasi 5. ALFRED MASUNGA [58] Mkazi wa Dar-es-Salaam 6. JUMA SONGOLO [53] Mkazi wa Dar-es-Salaam 7. EMANUEL TUMBUKA [35] Mkazi wa Shinyanga na 8. MWIGUNE MWAMBEULE [43] Mkazi wa Msaranyaki Songea kwa tuhuma za kupatikana na...

 

11 years ago

Michuzi

OFISI YA WAZIRI MKUU WAIBUKA KIDEDEA KWA WIZARA ZA SERIKALI NANE NANE, 2014

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu(Uhusiano na Uratibu) Mh. Stephen Wasira akimkabidhi Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Ofisi ya Waziri Mkuu , Bw. Issa Nchasi, kombe na cheti cha mshindi wa Pili katika kundi la Wizara za Serikali kwenye Sherehe za Sikukuu ya Wakulima Nane Nane, 2014 zilizofanyika kwenye Uwanja wa Nzuguni Dodoma. Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifurahi mara baada ya kukabidhiwa kombe la mshindi wa Pili katika kundi la Wizara za Serikali kwenye ...

 

10 years ago

Michuzi

OFISI YA WAZIRI MKUU YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KWA WIZARA ZA HUDUMA ZA JAMII KATIKA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA - LINDI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akimpongeza Mkurugenzi Idara ya Uratibu wa maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali, Mbazi  Msuya kwa ofisi hiyo kuwa mshindi wa kwanza kwa Wizara za Huduma za Jamii zilizoshiriki maonesho ya Nane Nane Kitaifa mkoani Lindi, Tarehe 8 Agosti , 2015. Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakifurahia  kombe la kuwa mshindi wa kwanza kwa Wizara za Huduma za Jamii zilizoshiriki maonesho ya Nane Nane Kitaifa mkoani Lindi,...

 

9 years ago

Michuzi

GAPCO KUDHAMINI KILIMANJARO MARATHON KILOMITA 10 KWA WALEMAVU 2016

GAPCO, kampuni ya mafuta inayoongoza Tanzania, imetangaza udhamini wake wa mbio za Kilimanjaro Marathon 2016 za kilomita 10 kwa walemavu.  Akitangaza udhamini huo jana wakati wa uzinduzi wa mashindano hayo ya Kilimanjaro Marathon, Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi alisema GAPCO inaona fahari kudhamini mbio hizo za kilomita 10 kwa walemavu.  “Tumeshuhudia mbio hizi za Kilimanjaro Marathon zikikua tangu tuanze kudhamini mwaka 2011 na pia kufurahia faida wanayopata washiriki na...

 

5 years ago

Michuzi

TARURA KUTENGENEZA BARABARA ZA KILOMITA 332 NA VIVUKO SITA KWA SH BILIONI NNE JIJI LA DODOMA


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuhakikisha Jiji la Dodoma linaendana na hadhi ya Makao Makuu ya Nchi, Wakala wa Barabara za vijijini na mijini Tanzania TARURA) jijini humo limepanga kutengeneza na kufanyia marekebisho miundombinu ya barabara ili kuondoa changamoto wanazokutana nazo wananchi.

Hayo yamesemwa na Meneja wa TARURA jiji la Dodoma, Eng Geofrey Mkinga wakati akiwasilisha mpango na bajeti ya matengenezo ya barabara kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kwenye kikao cha baraza la madiwani.

Eng...

 

11 years ago

Michuzi

Dkt. Shein afungua Maonesho ya Nane Nane Mkoani Lindi leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Maonesho ya kilimo ya nane nane kitaifa mwaka huu katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali wakati alipowasili katika Viwanja vya Ngongo yanapofanyika maonesho ya Kilimo ya nane nane kitaifa Mkoani Lindi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF WAIBUKA WASHINDI KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE MKOANI LINDI

Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti NHIF akipokea Kikombe cha Ushindi wa Kwanza kundi la Mifuko ya Jamii Toka kwa Rais Jakaya Kikwete,kushoto na Kulia kwa Rais wakishuhudia tukio hilo Ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza na Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Stephen Wassira katika Ufungaji wa Maonesho hayo katika Viwanja Vya Ngongo LindiMeneja wa Mfuko wa NHIF Mkoa wa Lindi,Fortunata Kullaya(Alieshika kikombe)Kwa Pomoja na Mkurugenzi wa Masoko ,Rehani Athumani (kulia) na Grace Kisinga...

 

11 years ago

Michuzi

SALAM ZA NANE NANE KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band yenye makao yake kule Ujerumani,inatoa salam maalumu za sikuu ya nane nane kwa wadau wote walio nyumbani Tanzania na nje. Sikuu kuu ya nane nane ambayo mwaka huu 2014 inafanyika kitaifa mkoani Lindi. Kikosi cha Ngoma Africa band aka FFU ughaibuni kinawatakia kila la heri na baraka katika Nane Nane oyeeee!!!! Usikose kupata burudani at http://www.ngoma-africa.com au www.ngoma-africa.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani