Dkt. Shein afungua Maonesho ya Nane Nane Mkoani Lindi leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-nthii1H0v6A/U9u5TAkwfpI/AAAAAAAF8SY/Q9S3aPw-_YQ/s72-c/unnamed+(36).jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Maonesho ya kilimo ya nane nane kitaifa mwaka huu katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali wakati alipowasili katika Viwanja vya Ngongo yanapofanyika maonesho ya Kilimo ya nane nane kitaifa Mkoani Lindi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-47CPhXDolr4/U-XeUHmj8QI/AAAAAAAF-Dw/i89wNv3srCY/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL MGENI RASMI MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-47CPhXDolr4/U-XeUHmj8QI/AAAAAAAF-Dw/i89wNv3srCY/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U_mP3q90Jh4/U-XecCsyZtI/AAAAAAAF-E4/UqK-tC-xnw4/s1600/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayofanyika mkoani Lindi yafikia siku ya sita
Wananchi wote mnakaribishwa kutembela banda la Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake ikiwemo UTT AMIS, Mfuko wa Pensheni PPF, GPSA na UTT PID uwanja wa maonesho ya kilimo ya Nane Nane Kitaifa Ngongo mkoani Lindi.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Josephat Mwambega akipokea fomu ya kujiunga na Mfumo wa Amana inayotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Masoko wa Mfuko huo Nelusigwe Mwalugaja wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha. Wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8Y-PmuEk6Y0/U-BCueUC4oI/AAAAAAAAVpg/8DP0uHaAP-k/s72-c/1.jpg)
VETA KATIKA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE VIWANJA VYA NGONGO MKOANI LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-8Y-PmuEk6Y0/U-BCueUC4oI/AAAAAAAAVpg/8DP0uHaAP-k/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgshWnOm--g/U-BCuXLiyHI/AAAAAAAAVpo/YoDPxn6ZFNo/s1600/2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Tigo yafunika maonesho ya Nane Nane mkoani Lindi
Umati wa watu waliofurika kwenye banda la Tigo Nanenane mkoani Lindi kushuhudia promosheni mbali mbali zitolewazo na kampuni hiyo.
Wananchi wa Lindi wakishuhudia burudani ya sarakasi iliyoandaliwa na Tigo.
Meneja wa Mauzo wa mikoa ya Lindi na Mtwara kutoka Tigo Bw. Daniel Maimuya akimuelekeza Afisa Kilimo wa Mkoa Bw. John Likango jinsi ya kutumia huduma ya Tigo Kilimo, huduma inayomwezesha mkulima kupata taarifa ya jinsi ya kufanya kilimo cha kisasa kupitia simu yake ya mkononi.
Watoto...
11 years ago
MichuziWIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YASHIRIKI KIKAMILIFU MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA MKOANI LINDI
Naibu Katibu mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Maria Bilia akipiga picha ya pamojanaViongozi mbalimbali waserikali katika maonyesho ya Nanenane 2014, Lindi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xgHRVfAY0gA/U-Gt7flVuiI/AAAAAAAF9cs/x7bAmViW4CM/s72-c/image_1.jpeg)
MKUU WA MKOA WA MTWARA ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA, MKOANI LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-xgHRVfAY0gA/U-Gt7flVuiI/AAAAAAAF9cs/x7bAmViW4CM/s1600/image_1.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mDrhqtHwDcM/U-Gt7fffeHI/AAAAAAAF9cw/eaYGxQucySI/s1600/image_2.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lGnSrp4oR90/U94P58BXoBI/AAAAAAAF8mI/XHke9rzYBKE/s72-c/unnamed+(21).jpg)
MKUU WA WILAYA YA NACHINGWEA ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-lGnSrp4oR90/U94P58BXoBI/AAAAAAAF8mI/XHke9rzYBKE/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oGaM6Dzgq-8/U94P6HUk_KI/AAAAAAAF8mM/QspIjzi3t0c/s1600/unnamed+(22).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CS00URYJY4o/VcWyPGP1FUI/AAAAAAAHvWE/SdBK_9_jn88/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
Mhe. Membe atembelea BANDA LA NMB LINDI KATIKA MAONESHO YA NANE NANE
![](http://1.bp.blogspot.com/-CS00URYJY4o/VcWyPGP1FUI/AAAAAAAHvWE/SdBK_9_jn88/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--DOnRmhtUJA/VcWyPAjzyXI/AAAAAAAHvWY/YcVOy2Z4Fns/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XluyWm0hZKw/VcWyPHDoixI/AAAAAAAHvWA/xVmfR1ZEQ2Y/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CjKaKhelIP8/VcTUKrR2MzI/AAAAAAAHvNc/kswsbJe-gTc/s72-c/unnamed%2B%252861%2529.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAENDELEA NA URATIBU WA SHUGHULI ZA SERIKALI NDANI YA MAONESHO YA NANE NANE - LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CjKaKhelIP8/VcTUKrR2MzI/AAAAAAAHvNc/kswsbJe-gTc/s640/unnamed%2B%252861%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fOH7A68yuS8/VcTUKiZjpfI/AAAAAAAHvNY/KP6POy8aZ4o/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)