Mrema awatambia Ukawa, amwonya Mbatia
Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP) amedai kitendo cha yeye kubaki kwenye Bunge Maalumu la Katiba kumetumiwa vibaya na wahasimu wake wa kisiasa jimboni kwake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen24 Apr
Mrema hits at Mbatia
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Mrema amlilia JK amfukuze Mbatia
KATIKA hali ya kutapatapa kisiasa, Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP), amemshtaki kwa Rais Jakaya Kikwete, Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), akitaka ang’olewe ubunge. Mrema, alitoa kituko hicho juzi...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/54mXxYXIjno/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Vita ya Mbatia, Mrema yaiva
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Vita ya Mrema, Mbatia sasa moto
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Mrema amwomba Kikwete amfukuze Mbatia ubunge
![Augustine Mrema](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Augustine-Mrema.jpg)
Mbunge wa Vunjo (TLP), Augustine Mrema
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP), amemwomba Rais Jakaya Kikwete amnyang’anye ubunge Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia.
Mrema alitoa ombi hilo juzi mjini hapa, alipokuwa akizungumza katika kikao kilichowakutanisha wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Rais Kikwete kwa ajili ya kutafuta mwafaka wa Bunge Maalumu la Katiba.
Chanzo chetu cha habari kilichokuwa katika kikao hicho kilichofanyika Ikulu ndogo eneo la...
10 years ago
Habarileo08 Feb
Vunjo yageuka uwanja wa sinema ya Mbatia, Mrema
JIMBO la Vunjo mkoani Kilimanjaro, limegeuka ‘steji’ ya sinema ya kuwania ubunge kati ya Mbunge wa sasa, Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Agustino Mrema na mpinzani wake katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Mbunge wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia.
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Mbatia, Mbowe vicheko, Mrema augulia maumivu
9 years ago
MichuziMREMA ACHUKIZWA NA RAFU ZA MBATIA KATIKA JIMBO LA VUNJO
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mrema amesema kuwa mshindi wa jimbo hilo amekuwa akionywa na msimamizi wa uchaguzi kutokana na matumizi ya vipeperushi ambavyo yeye alijipigia...