Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Patrick Qorro afariki dunia Dar es Salaam

>Aliyekuwa Mbunge wa Karatu na waziri mdogo kwa umri Wizara ya Kilimo na Ushirika Serikali ya awamu ya kwanza, Patrick Qorro (72) amefariki dunia usiku wa kuamkia juzi baada ya kuugua kwa muda mfupi Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mh. Lowassa na Mh. Walioba washiriki Ibada ya Kuaga Mwili wa Mbunge wa Zamani wa Karatu,Marehemu Patrick Qorro jijini dar leo

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimsalimia Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais (mstaafu), Jaji Joseph Warioba wakati walipokutana katika msiba wa Mbunge wa Zamani wa Karatu,Marehemu Patrick Qorro,Nyumbani kwa Marehemu maeneo ya Ada Estate,Jijini Dar es salaam leo. Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimsikiliza Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere,Mzee Joseph Butiku wakati wakiwa kwenye msiba wa Mbunge wa Zamani wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwakapugi afariki dunia Dar es Salaam

Aliyekuwa Katibu Mkuu wizara ya Nishati na Madini, Arthur Mwakapugi amefariki dunia jana alipokuwa amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu ya Kansa ya Ini.

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Mhita afariki Dunia Dar es salaam

Patricia Kimelemeta
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa(TMA), Dk Mohamed Mhita amefariki Dunia juzi katika Hospitali ya Agha Khan baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na malaria na alipelekwa hospitalini hapo kwa ajili ya matibabu.
Alisema wanatarajia kuzika leo baada ya kuwasili kwa mke wa marehemu, Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita...

 

11 years ago

GPL

LOWASSA AHUDHURIA MSIBA WA PATRICK QORRO

Rais mstaafu wa awamu ya tatu Mh Benjamin Mkapa akisalimiana an waziri mkuu mstaafu an mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa katika msiba wa mbunge wa zamani wa Karatu Mzee Patrick Qorro Ada estate jijini dar es salaam jana. ...akisalimiana na Profesa wa Chuo Kikuu DSM, Issa Shivji…

 

5 years ago

Michuzi

TANZIA: MZEE IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM


Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara katika serikali ya Awamu ya Tatu Mzee Iddi Simba amefariki dunia leo asubuhi katika Tasaisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu, binti yake Sauda Simba amethibitisha.
Habari zaidi pamoja na mipango ya mazishi tutajulishana baada ya muda si mrefu

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: MZEE JOACHIM AUGUSTINO NGONYANI AFARIKI DUNIA DAR ES SALAAM

Ndugu Augustino Ngonyani, anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake mzazi Mzee Joachim A. Ngonyani kilichotokea alfajiri ya tarehe 6.8.2015, Dar Es Salaam. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwake Sinza Makaburini. Mwili wa marehemu utaagwa tarehe 8.8.2015 Jumamosi saa 3 asubuhi katika kanisa la Mt.. Petro Oysterbay na baada ya hapo kusafirishwa siku hiyo hiyo kwenda Songea kwa Mazishi. Mazishi ya Mzee Ngonyani yanatarajia kufanyika siku ya Jumatatu 10.08.2015, Kijijini Kwake Parangu,...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU MZEE PATRICK QORRO LEO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombelezo ya msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Karatu Waziri wa Kilimo na Ushirika Serikali ya awamu ya kwanza, Mhe. Patrick Qorro (72)  aliyefariki  dunia usiku wa kuamkia Jumamosi baada ya kuugua kwa muda mfupi na kulazwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kitengo cha Mifupa ( MOI)  jijini Dar es Salaam.
Marehemu Qorro ambaye wakati wa Serikali ya awamu ya kwanza aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali, ikiwamo Waziri mdogo wa Kilimo na...

 

5 years ago

CCM Blog

MWENYEKITI WA SOKA LA WANAWAKE MKOA WA DAR ES SALAAM DKT. MANENO TAMBA AFARIKI DUNIA

Mwenyekiti wa Soka la Wanawake Mkoa wa Dar es Salaam na mmiliki wa timu ya soka ya wanawake ya Mburahati Queens, Dkt. Maneno Tamba amefariki dunia leo mchana.

 

11 years ago

Michuzi

Tanzia: Bondia wa zamani iraq hudu afariki dunia leo, kuzikwa kesho kisutu Dar es salaam

BONDIA wa zamani wa ngumi za kulipwa nchini, Iraq Hudu 'Kimbuga' (49) amefariki dunia, baada ya kuugua kwa muda mfupi.   Akizungumza jijini Dar es Salaam leo,  Dada wa Marehemu Tiba Takadiri, alisema kuwa Hudu amefariki jana majira ya saa 11 ya alfajiri kwenye hospitali ya Hindu Mandal, alikokuwa amelazwa. Takadiri, alimesema kuwa mazishi ya Hudu yatafanyika leo kwenye makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.  Alisema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na tatizo la ini na figo kutofanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani