Patrick Qorro afariki dunia Dar es Salaam
>Aliyekuwa Mbunge wa Karatu na waziri mdogo kwa umri Wizara ya Kilimo na Ushirika Serikali ya awamu ya kwanza, Patrick Qorro (72) amefariki dunia usiku wa kuamkia juzi baada ya kuugua kwa muda mfupi Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMh. Lowassa na Mh. Walioba washiriki Ibada ya Kuaga Mwili wa Mbunge wa Zamani wa Karatu,Marehemu Patrick Qorro jijini dar leo
11 years ago
Mwananchi18 May
Mwakapugi afariki dunia Dar es Salaam
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Dk. Mhita afariki Dunia Dar es salaam
Patricia Kimelemeta
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa(TMA), Dk Mohamed Mhita amefariki Dunia juzi katika Hospitali ya Agha Khan baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na malaria na alipelekwa hospitalini hapo kwa ajili ya matibabu.
Alisema wanatarajia kuzika leo baada ya kuwasili kwa mke wa marehemu, Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita...
11 years ago
GPLLOWASSA AHUDHURIA MSIBA WA PATRICK QORRO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f_VtfxuqKls/XkUVht6PkhI/AAAAAAALdI8/Nm404myswN8UhHJqU313KiR9KKw3tVePQCLcBGAsYHQ/s72-c/iddi%2Bsimba%2B%25282%2529.jpg)
TANZIA: MZEE IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-f_VtfxuqKls/XkUVht6PkhI/AAAAAAALdI8/Nm404myswN8UhHJqU313KiR9KKw3tVePQCLcBGAsYHQ/s400/iddi%2Bsimba%2B%25282%2529.jpg)
Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara katika serikali ya Awamu ya Tatu Mzee Iddi Simba amefariki dunia leo asubuhi katika Tasaisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu, binti yake Sauda Simba amethibitisha.
Habari zaidi pamoja na mipango ya mazishi tutajulishana baada ya muda si mrefu
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7rmKpl4NS_s/VcNWAcjEb3I/AAAAAAAHunU/Z7kfmdxEyY8/s72-c/unnamed.jpg)
TANZIA: MZEE JOACHIM AUGUSTINO NGONYANI AFARIKI DUNIA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-7rmKpl4NS_s/VcNWAcjEb3I/AAAAAAAHunU/Z7kfmdxEyY8/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hGRt3BTVqcY/Uvk38Zqh0BI/AAAAAAAFMQU/I03e-Ae_II8/s72-c/unnamed+(51).jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU MZEE PATRICK QORRO LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-hGRt3BTVqcY/Uvk38Zqh0BI/AAAAAAAFMQU/I03e-Ae_II8/s1600/unnamed+(51).jpg)
Marehemu Qorro ambaye wakati wa Serikali ya awamu ya kwanza aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali, ikiwamo Waziri mdogo wa Kilimo na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5igCj9nOA_Q/XqxCvPS1WwI/AAAAAAAC4Us/hkQiXvK5dqkMFgb6rKEijlHVp3qoHlDvwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWENYEKITI WA SOKA LA WANAWAKE MKOA WA DAR ES SALAAM DKT. MANENO TAMBA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5igCj9nOA_Q/XqxCvPS1WwI/AAAAAAAC4Us/hkQiXvK5dqkMFgb6rKEijlHVp3qoHlDvwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0YLhL3N4cpU/XqxC2zSicmI/AAAAAAAC4Uw/_-zApnjuGNgwABeVpUqE9qE_atLDPqmVQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2AStWy5W0kg/U5rKT7EtTZI/AAAAAAAFqUs/MBF-1NBIe4g/s72-c/Bondia+Mkongwe+Iraki+Hudu(mwenye+miwani)+na+Mwanae+Dani+Hudu.jpg)
Tanzia: Bondia wa zamani iraq hudu afariki dunia leo, kuzikwa kesho kisutu Dar es salaam