Mh. Lowassa na Mh. Walioba washiriki Ibada ya Kuaga Mwili wa Mbunge wa Zamani wa Karatu,Marehemu Patrick Qorro jijini dar leo
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimsalimia Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais (mstaafu), Jaji Joseph Warioba wakati walipokutana katika msiba wa Mbunge wa Zamani wa Karatu,Marehemu Patrick Qorro,Nyumbani kwa Marehemu maeneo ya Ada Estate,Jijini Dar es salaam leo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimsikiliza Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere,Mzee Joseph Butiku wakati wakiwa kwenye msiba wa Mbunge wa Zamani wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uV_NuY4b3Ow/VXHi17BYofI/AAAAAAAHcXg/dVkiymoxhdk/s72-c/20150605103205.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uV_NuY4b3Ow/VXHi17BYofI/AAAAAAAHcXg/dVkiymoxhdk/s72-c/20150605103205.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/T05zUkIf8Ug/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hGRt3BTVqcY/Uvk38Zqh0BI/AAAAAAAFMQU/I03e-Ae_II8/s72-c/unnamed+(51).jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU MZEE PATRICK QORRO LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-hGRt3BTVqcY/Uvk38Zqh0BI/AAAAAAAFMQU/I03e-Ae_II8/s1600/unnamed+(51).jpg)
Marehemu Qorro ambaye wakati wa Serikali ya awamu ya kwanza aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali, ikiwamo Waziri mdogo wa Kilimo na...
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU GEORGE LIUNDI KARIMJEE JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-63rGccYLwBU/VY8zzgyaSjI/AAAAAAAHkwc/DPYdGq89w_c/s72-c/m2.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA MAREHEMU DONALD KELVIN MAX VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-63rGccYLwBU/VY8zzgyaSjI/AAAAAAAHkwc/DPYdGq89w_c/s640/m2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-iDEtuajMc/VY8_o42eVmI/AAAAAAAHk0M/FF3sqYXuUME/s640/m3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3YIfMv8jjCA/VPRsc6iwVaI/AAAAAAADbQM/Lk9khKGHnt0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU KAPTEN KOMBA VIWANJA VYA KARIMJEE DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-3YIfMv8jjCA/VPRsc6iwVaI/AAAAAAADbQM/Lk9khKGHnt0/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nD6sJq4xwN0/VPRsc3bbuDI/AAAAAAADbQI/XNrbzh2SgXk/s1600/02.jpg)
11 years ago
GPLLOWASSA AHUDHURIA MSIBA WA PATRICK QORRO
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...