CHATU AMEZA MTOTO WA SWALA INDIA
![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBAGAPHLlPZrpHStidnt23kPa5gvULAZZqH-g2NqW13jYmoFwhVPRJDD2kJNVMF8zCd2aFleTqbGe8QHUU1xaNI/1406194043645_wps_2_EXCLUSIVE_GUJARAT_INDIA_U.jpg)
Jamii ya chatu amenaswa na Kamera akimeza mtoto wa Swala katika kijiji cha Billa nchini India. ...akiendelea kummeza mtoto wa Swala.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/phone-2.jpg)
MFUNGWA AMEZA SIMU NA CHAJA MBILI
Picha ya kipimo cha X-ray ikionesha simu na chaja zikiwa zimesagwasagwa ndani ya tumbo la mfungwa huyo. Simu na chaja alizomeza mfungwa huyo. Mfungwa akitoka kusalimia ndugu na jamaa zake. MFUNGWA mmoja (hakufahamika jina lake) nchini Brazil amemeza simu ya mkononi na chaja zake mbili wakati akijihami na kukataa kuingizwa gereza la Papunda liliyopo mji mkuu wa nchi hiyo, Brasilia. Tukio hilo lilitokea juzi wakati mfungwa huyo na...
11 years ago
GPLMADAKTARI INDIA: MTOTO ALICHELEWESHWA
Hamis Hashim Liguya akiwa katika Hospitali ya Ganga, mjini Mombai India. SIKU chache baada mtoto Hamis Hashim Liguya (13) aliyekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuvimba miguu kuwasili nchini India, jopo la madaktari mjini Mombai, limesema mtoto huyo alicheleshwa kupewa matibabu kwani angewezekana kutibiwa mapema. Jopo la madaktari wakiongea…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5Rmog*MPb5gYpYTD2mProzZpk3lfsMrHUL3mR7CdUkYzAJAAVZXQ*SBL1wSYoUU19fX*xPg0iWvenwqZYYx8TVhtE/bongenyanya.jpg?width=650)
MTOTO BONGE KUPELEKWA INDIA
HATIMAYE Mtoto Grace Simon (14) (pichani) ambaye ameacha shule kutokana na tatizo la unene wa kupindukia, sasa atapelekwa India kwa ajili ya matibabu kwa gharama za serikali. Mtoto Grace Simon (14) ambaye ameacha shule kutokana na tatizo la unene wa kupindukia. Mama mzazi wa Grace, Ashura Bakari alimwambia mwandishi wetu kuwa baada ya gazeti hili kuandika habari za mwanaye mara kwa mara, serikali imesikia kilio cha Grace ambaye...
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Mtoto wa miaka 2 aweka rekodi India
Amini usiamini mtoto mwenye umri wa miaka miwili ameweka rekodi ya taifa ya ulengaji shabaha kwa mishale nchini India.
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtoto wa miaka sita abakwa India
Mtoto wa miaka 6 wa shule amebakwa na wafanyakazi wawili wa shule moja maarufu Kusini mwa mji wa Bangaloer nchini India.
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
India: Watu 2 ndani kubaka mtoto wa miaka 2
Polisi mjini Delhi, India wamewakamata vijana wawili, wanaotuhumiwa kwa ubakaji wa mtoto wa miaka mwili.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydX*rmMm0MnyCrLAVj3RTEpu9KFLjqLaUqbNo44UyYhez3iw-5wYQwkIZkkRmubZYvw3GXMsFskAY*qyHgCJF1sG/india.jpg?width=650)
MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU... ATUA INDIA
Stori: Gladness Mallya BAADA ya kuteseka kwa muda mrefu kwa ugonjwa wa ajabu kwenye miguu, hatimaye mtoto Hamis Hashim Liguya (13) ametua nchini India kwa ajili ya matibabu. Mtoto Hamis Hashim Liguya (13). Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar Jumamosi iliyopita, majira ya saa 6 mchana, ndugu, jamaa na wadau mbalimbali walifika kumsindikiza mtoto huyo aliyewasili India Jumapili iliyopita....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/snaF4AQL0dF7AdSgOmg8TVB7m6YHv90bE93LsUpj4Jh7a2Em5rnr*4WrZfqq6iYjNXmA2X5l0jqScE6HwuxnQfCdOVhfQ613/MTOTOINDIA1.jpg)
HATIMAYE MTOTO MWENYE UVIMBE WA AJABU AKATWA MGUU INDIA
Mtoto mwenye uvimbe wa ajabu, Hamis Liyuga akiwa anaandaliwa kupelekwa katika chumba cha upasuaji. Hamis Liyuga akipelekwa katika chumba cha upasuaji.…
10 years ago
Michuzi26 Nov
MTOTO AZALIWA AKIWA NA MIGUU NA MIKONO MINNE HUKO INDIA
![](https://3.bp.blogspot.com/-UC_J2-xfUp8/VHSl1dShAFI/AAAAAAAAw24/hxv1KA7zpEc/s640/god-boy.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania