MADAKTARI INDIA: MTOTO ALICHELEWESHWA
Hamis Hashim Liguya akiwa katika Hospitali ya Ganga, mjini Mombai India. SIKU chache baada mtoto Hamis Hashim Liguya (13) aliyekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuvimba miguu kuwasili nchini India, jopo la madaktari mjini Mombai, limesema mtoto huyo alicheleshwa kupewa matibabu kwani angewezekana kutibiwa mapema. Jopo la madaktari wakiongea…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Madaktari wamuua mshukiwa wa wizi India
10 years ago
Michuzi21 Apr
MADAKTARI BINGWA KUTOKA INDIA WATOA HUDUMA YA MATIBABU JIJINI ARUSHA
Akizungumza na waandishi wa habari katika kituo cha kutoa huduma kwamatibabu Arusha, Austin Makani alisema kuwa , madaktari bingwa haowanatoa ushauri kwa wagonjwa wenye matatizo ya Figo , Moyo, tumbo,saratani, mishipa ya fahamu, uti wa mgongo, upasuaji wa...
9 years ago
Bongo516 Dec
Kim Kardashian ashauriwa na madaktari asizae mtoto wa tatu!
![1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom-300x194.jpg)
Kuna uwezekano Kanye West na Kim Kardashian wasipate mtoto mwingine wa tatu kutokana na madaktari kumshauri Kim asibebe ujauzito mwingine.
Kwa mujibu wa TMZ, madaktari wamemshauri Kim K kutoongeza mtoto mwingine tena kutokana na kupata tatizo linalofahamika kwa kitaalam kama ‘placenta accreta’.
Ushauri huo umetolewa baada kupata matatizo wakati wa kujifungua watoto wake wawili North na Saint. Wamesema akipata ujauzito mwingine kwa sasa ni kuhatarisha maisha yake pamoja na mtoto.
Chanzo cha...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5Rmog*MPb5gYpYTD2mProzZpk3lfsMrHUL3mR7CdUkYzAJAAVZXQ*SBL1wSYoUU19fX*xPg0iWvenwqZYYx8TVhtE/bongenyanya.jpg?width=650)
MTOTO BONGE KUPELEKWA INDIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBAGAPHLlPZrpHStidnt23kPa5gvULAZZqH-g2NqW13jYmoFwhVPRJDD2kJNVMF8zCd2aFleTqbGe8QHUU1xaNI/1406194043645_wps_2_EXCLUSIVE_GUJARAT_INDIA_U.jpg)
CHATU AMEZA MTOTO WA SWALA INDIA
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtoto wa miaka sita abakwa India
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Mtoto wa miaka 2 aweka rekodi India