Chatu amshinda Mamba Nguvu Australia
Chatu ameshinda vita vikali dhidi ya Mamba Kaskazini mwa mji wa QueensLand. Kawaida nani mwenye nguvu kumshinda mwenzake?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM04 Jul
PICHA 9 ZIKIONESHA CHUI AKIENDA KUMLA MAMBA BAADA YA KUMVIZIA NA KUMZIDI NGUVU
Chui aina ya 'Jaguar' akimnyemelea mamba katika mto Cuiaba nchini Brazil.
Chui huyo akimkaribia mamba aliyekuwa akila upepo nje ya maji.
...Mamba akiwa hana hili wala lile.
Chui akimshambulia mamba huyo.
Mamba akizidi kushambuliwa na chui.
Mamba hoi kwa chui huyo.
Chui akitokomea na mamba huyo baada ya kumzidi nguvu.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
SAKATA LA CHATU
‘Mzee wa Kanisa’ aibua siri mpya
Amkana chatu, adai ni njama za majirani Mke adai mumuwe ni msafi si mshirikina
SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL, ARUSHA
MFANYABIASHARA Joseph Magesa anayedaiwa kufuga nyoka aina ya Chatu nyumbani kwake, ameibua mapya kwa kudai kuwa hahusiki naye.
Pia, amedai kuwa hizo zinaweza kuwa njama za majirani zake, zilizolenga kumchafua na kwamba, suala hilo amemwachia Mungu kwani ndiye ajuaye ukweli.
Magesa, ambaye alikuwa akijitambulisha kuwa ni Mzee wa Kanisa Katoliki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNx5el8syPvlbPqNbDkSWXDMVdzmv7Ze4AmYKLm0XK3W1ywG22g12t2vlTt9M3KGPIYLmuOA-aZ2EXdNOOZ486h/FRONTAMANI.jpg)
MWANAMKE DAR AJIFUNGUA CHATU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBAGAPHLlPZrpHStidnt23kPa5gvULAZZqH-g2NqW13jYmoFwhVPRJDD2kJNVMF8zCd2aFleTqbGe8QHUU1xaNI/1406194043645_wps_2_EXCLUSIVE_GUJARAT_INDIA_U.jpg)
CHATU AMEZA MTOTO WA SWALA INDIA
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
CHATU KUKUTWA KWA MZEE WA KANISA....
SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SAKATA la kukutwa kwa myoka aina ya chatu ndani ya nyumba ya mzee wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha Parokia ya Mtakatifu Monica, Joseph Magesa, limechukua sura mpya baada ya Kikosi Dhidi ya Ujangili (KDU) Kanda ya Kaskazini kuanza uchunguzi ili kubaini iwapo kama alikuwa akimilikiwa kihalali.
Akizungumza na UUHURU WIKENDI ofisini kwake jana, Kamanda wa kikosi hicho, Paschal Mrina, alisema uchunguzi huo umeanza mara moja, muda mfupi baada ya kupokea...
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Tuone kweli kama ni nguvu ya soda au nguvu ya jua
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-y6WGsuj73tU/VjJtlAn0yWI/AAAAAAAA31k/X7j7SqYXKz0/s72-c/TB-Joshua.jpg)
Haujatimia...Je Nguvu za Binadamu zinaweza Kuzuia Nguvu za Mungu...
![](http://1.bp.blogspot.com/-y6WGsuj73tU/VjJtlAn0yWI/AAAAAAAA31k/X7j7SqYXKz0/s640/TB-Joshua.jpg)
Naleta kwenu msaswali machache ili mpate kunisaidia. Katika tabiri nyingi zilizopata kutabiriwa ndani ya vitabu vitakatifu kama BIBLIA na vinginevyo zimekuwa zikitimia pasipi shaka.Siku za nyuma kidogo huyu nabii anaye itwa TB Joshua Kutoka Nigeria alimtabiria mheshikiwa Edward kuwa ndiye raisi ajaye sasa kila mtu anajua kilicho tokea ni kitugani muda mfupi ulio pita.
SASA NAULIZA HIVI, JE BINADAMU ANAYO MAMLAKA AU NGUVU YOYOTE KATIKA KUBATILISHA KILE KINACHO TAJWA KUWA NI UTABIRI AMBAO...
11 years ago
Michuzi21 May
namna ambavyo Chatu aliweza kukamatwa jijini Mbeya
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/kCD1RyNrIhCbV3uyd_fgsPkiVRM8jGa9inJLLo7G8tUNhHWGxdE8PYq91ytIz1e6QZ7k-7evpSVk7gRnPG3eOh7U7JQP0t9JzJMVH0irjYkZZ3ZLGa53m_LF-PMEE-5vLhaLe3vopS0ewhWzMAmpmtE0Y8FEOxTC7e0-q_l_t1dXNDxw1hdkMaMBH021ShPoqsYs1Bq3uKm4_2ghrLweUvf_CHEthwAYE6R-OrKeMw6vPaGtVx7ZJGEEXNrcESw8Ky06UXoFroim-o8TbvHxKHeIpj461IApVGXc_flBVpHXd7Cg-w985-nb5m73D6ckzXoKp0IpQFO8yfdms6w4eph4ANljIEE=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-ig9XzgE-fNE%2FU3syU324WbI%2FAAAAAAAAFAE%2FkhwHQKAsLew%2Fs1600%2F20140520_104654.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAHkh7qvW7bFt1NpQWAoZcByg1C4Fy2nNAkBpx4Cm1oXCS571xu0ECvmrDbMBgk2I0siTBAsACib4Uj3hj4mtDq/1.jpg?width=650)
HOFU: CHATU AMMEZA MBUZI MZIMAMZIMA, WANAKIJIJI WAPIGWA BUTWAA