Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA 9 ZIKIONESHA CHUI AKIENDA KUMLA MAMBA BAADA YA KUMVIZIA NA KUMZIDI NGUVU

Chui aina ya 'Jaguar' akimnyemelea mamba katika mto Cuiaba nchini Brazil.Chui huyo akimkaribia mamba aliyekuwa akila upepo nje ya maji....Mamba akiwa hana hili wala lile.Chui akimshambulia mamba huyo.Mamba akizidi kushambuliwa na chui.Mamba hoi kwa chui huyo.Chui akitokomea na mamba huyo baada ya kumzidi nguvu.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMBA APATIKANA, AHENYESWHA NA CHUI BRAZIL

Chui aina ya 'Jaguar' akimnyemelea mamba katika mto Cuiaba nchini Brazil. Chui huyo akimkaribia mamba aliyekuwa akila upepo nje ya maji.…

 

5 years ago

Michuzi

PICHA MBALIMBALI ZIKIONESHA RAIS MAGUFULI ALIPOWASI CHATO MKOANI GEITA AKITOKEA DODOMA.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Machi, 2020 amewasili Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma.

Mhe. Rais Magufuli ametua katika uwanja wa ndege wa Chato na kisha kuelekea nyumbani kwake katika kitongoji cha Lubambangwe, Kijiji cha Mlimani Wilayani Chato.





 

11 years ago

BBCSwahili

Chatu amshinda Mamba Nguvu Australia

Chatu ameshinda vita vikali dhidi ya Mamba Kaskazini mwa mji wa QueensLand. Kawaida nani mwenye nguvu kumshinda mwenzake?

 

5 years ago

Michuzi

PICHA MBALI MBALI ZIKIONESHA MAENDELEO YA UJENZI WA SGR UKIENDELEA KWA KASI




Picha tofauti zikionesha maendeleo ya ujenzi wa SGR stesheni tofauti kwa kipande cha Daresalaam-Morogoro na kuonesha kukamilika kwa utandikaji wa nguzo na nyaya za umeme kwa ajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa na treni ya umeme.






 

10 years ago

Vijimambo

Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'


Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kwa Picha: Ndovu dhidi ya mamba

Ndama wa tembo alinusurika kibahati baada ya kuvamiwa na mamba akinywa maji nchini Zimbabwe.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mashabiki wamshambulia Nonini baada ya kupost picha ya ‘tbt’ akiwa kwenye pozi za kimahaba na Wahu

Katika ule utaratibu wa watu kupost picha za zamani kwenye mitandao ya kijamii na hashtag ya ‘Throw Back Thursday (TBT) kila siku za Alhamisi , Nonini alipost picha aliyopiga zamani na Wahu wakiwa kwenye pozi za kimahaba, kitendo kilichotafsiriwa tofauti na mashabiki waliodai amemkosea heshima Nameless. Wanamuziki Wahu Kagwi na David Mathenge a.k.a Nameless wa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani