Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMBA APATIKANA, AHENYESWHA NA CHUI BRAZIL

Chui aina ya 'Jaguar' akimnyemelea mamba katika mto Cuiaba nchini Brazil. Chui huyo akimkaribia mamba aliyekuwa akila upepo nje ya maji.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

PICHA 9 ZIKIONESHA CHUI AKIENDA KUMLA MAMBA BAADA YA KUMVIZIA NA KUMZIDI NGUVU

Chui aina ya 'Jaguar' akimnyemelea mamba katika mto Cuiaba nchini Brazil.Chui huyo akimkaribia mamba aliyekuwa akila upepo nje ya maji....Mamba akiwa hana hili wala lile.Chui akimshambulia mamba huyo.Mamba akizidi kushambuliwa na chui.Mamba hoi kwa chui huyo.Chui akitokomea na mamba huyo baada ya kumzidi nguvu.

 

10 years ago

TheCitizen

JKT Stars gun down Chui

JKT Stars made light work of Chui in the on-going Azam RBA League game after recording a resounding 92-59 victory at the National Indoor Stadium on Saturday night.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chui wakataa kumshambulia, China

Mwanamume mmoja nchini China amenusurika kifo katika hifadhi ya wanyama pori nchini humo, baada ya kujirusha ndani ya hifadhi hiyo akisema alitaka 'kuwalisha' wanyama hao hatari.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chui amuua mhudumu New Zealand

Mhudumu mmoja wa bustani ya kuhifadhi wanyama ameuawa na chui mwenye milia huko Hamilton New Zealand.

 

10 years ago

GPL

GENEVIEVE, OMOTOLA CHUI NA PAKA

Staa wa filamu za Kinigeria, Genevieve Nnaji. MASTAA wawili wanaotikisa Nollywood, Omotola Ekeinde pamoja na Genevieve Nnaji inadaiwa hawapatani hata kidogo ‘chui na paka.’Chanzo kinafunguka kuwa japokuwa hivi karibuni Rais wa Chama cha Waigizaji Nigeria, Ibinabo Fiberesima alilazimika kuingilia kati na kuwakusanya pamoja lakini imekuwa vigumu. Muigizaji wa filamu za Kinigeria, Omotola Jalade. “Genevieve...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke anaswa na ngozi za chui

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Mwajuma Hamisi, mkazi wa Yombo Vituka kwa kosa la kukutwa na ngozi mbili za chui kinyume cha sheria, zenye thamani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chui Buka amuua mwanafunzi India

Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wanyamapori ya Delhi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chui kanyeshewa kawa paka uwanjani Nyayo

SuperSport FC imetoka sare ya 2-2 na AFC Leopards na kufuzu kwa raundi ijayo ya kombe la Shirikisho barani Afrika

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Saida Yunus Chui alamba nondozzz

Mdau Saida Yunus Chui akiwa ni mwenye furaha sana muda mfupi baada ya kula Nondozz yake ya Master School of Improvement and Education Leadership katika Chuo Kikuu cha Birmingham University, kule kwa Bibi (Uk).Mdau Saida Yunus Chui akiwa akiwa ndani ya ukumbi wa Chuo Kikuu cha Birmingham University, tayari kwa kula Nondozz yake ya Master School of Improvement and Education Leadership.Mdau Saida Yunus Chui akiwa na hazbendi wake,Ahmed Mashaka (kulia) pamoja na Dada yake mada baada ya kula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani