Chui amuua mhudumu New Zealand
Mhudumu mmoja wa bustani ya kuhifadhi wanyama ameuawa na chui mwenye milia huko Hamilton New Zealand.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
Chui Buka amuua mwanafunzi India
Chui Buka au 'Tiger', amemshambulia na kumuua mwanafunzi nchini India katika hifadhi ya wanyamapori ya Delhi.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mhudumu wa mochuari ‘amchimba mkwara’ waziri
Mfanyakazi wa Kitengo cha Kuhifadhi Maiti cha Hospitali ya Rufaa ya Mbeya, Eugene Vurugu amemtisha Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kuwa ikitokea amefariki dunia akiwa mkoani Mbeya, basi maiti yake italazwa kwenye sakafu hospitalini hapo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH2-XWZd8GAKiOhjR5*ylABlK-WnDlS8fR7PcHcl0KF3K7PoveiXUatJjIuXtaIrkiBYa9vqOG-QDEVidxBojBaA/bond.jpg?width=650)
BWANA WA WASTARA ADAIWA KUMPA MIMBA MHUDUMU
Na Gladness Mallya na Hamida Hassan
MSANII wa filamu za Kibongo ambaye ni Mtangazaji wa Channel Ten, Bond Bin Sinan, anadaiwa kumpa mimba mhudumu wa baa maarufu ya Break Point (BP) iliyopo Kijitonyama, Dar, anayejulikana kwa jina moja la Grace (pichani). Mhudumu wa baa anayejulikana kwa jina moja la Grace anayedaiwa kupewa mimba na Msanii wa filamu za Kibongo, Bond bin… ...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Hadithi ya Nyangeche , eric., kijana, mhudumu, kilevi
Eric alianza kutweta kwa kijasho chembamba na kufanikiwa kuongea: “Nyangache … hapa ni nyumbani.  Pia kumbuka heshima na upendo wetu kwa Mungu.†Alitulia. Nilimtazama na kumshika mkono wake wa kulia na kumketisha katika kiti nami niliketi katika kiti kingine.Tulitazamana. Nilianza kuvunja ukimya na kusema: â€Najua nitakufa! Najua nitakufa!
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Ndege yatua mhudumu akilala ndani ya Shehena
Ndege ya abiria 170 yalazimika kutua mhudumu alipolaa ndani ya shehena ya mizigo
10 years ago
BBCSwahili28 May
Mhudumu wa baa taabani kwa kifo cha mteja
Muhudumu mmoja wa baa amepatikana na hatia ya mauaji baada ya kumpa mteja wake jumla ya vipimo 56 vya pombe kisha akafa.
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/E33D/production/_85737185_julian_savea1.jpg)
New Zealand 58-14 Namibia
World champions New Zealand run in nine tries but Namibia emerge with pride intact from their 58-14 World Cup Pool C loss.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6qNOPZKNgNyYri2TRMJCp0hUiH5RPoYoNEzLop4Mi952C9abue5sZb8XhLq-oRaRq-9d0570YpNpDRAPtDT7ofi/Genevieve.jpg?width=650)
GENEVIEVE, OMOTOLA CHUI NA PAKA
Staa wa filamu za Kinigeria, Genevieve Nnaji. MASTAA wawili wanaotikisa Nollywood, Omotola Ekeinde pamoja na Genevieve Nnaji inadaiwa hawapatani hata kidogo ‘chui na paka.’Chanzo kinafunguka kuwa japokuwa hivi karibuni Rais wa Chama cha Waigizaji Nigeria, Ibinabo Fiberesima alilazimika kuingilia kati na kuwakusanya pamoja lakini imekuwa vigumu. Muigizaji wa filamu za Kinigeria, Omotola Jalade. “Genevieve...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mwanamke anaswa na ngozi za chui
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Mwajuma Hamisi, mkazi wa Yombo Vituka kwa kosa la kukutwa na ngozi mbili za chui kinyume cha sheria, zenye thamani...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania