Utata waibuka ukweli sakata la mgombea wa ACT kutekwa
Jeshi la polisi mkoani Simiyu linamhoji mgombea  ubunge Jimbo la Bariadi kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Masunga Nghonzo kwa madai ya kutekwa na watu wasiojulikana katika mji wa Bariadi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Polisi yathibitisha mgombea ubunge wa ACT kutekwa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s72-c/1.jpg)
Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s1600/1.jpg)
Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...
10 years ago
Bongo523 Oct
Sauti Sol waibuka ‘Best African Act’ wa MTV EMA, sasa kuwania ‘Worldwide Act’
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Utata waibuka aliyechunwa ngozi Mkuranga
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti juu ya tukio la mkazi wa Kijiji cha Dondo, wilayani Mkuranga mkoani Pwani, Hamisi Maimbwa (20) kufariki dunia baada ya kudaiwa kuchunwa ngozi mwili mzima na watu wasiojulikana, utata mkubwa umeibuka kuhusu tukio hilo.
Wakati ndugu na mmoja wa viongozi wa zahanati iliyomtibu Maimbwa kabla mauti hayajamkuta wakidai kuwa kijana huyo alichunwa ngozi, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Utata waibuka fedha za wanawake, vijana
FEDHA za mfuko wa wanawake na vijana katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe, Mbeya zimezua utata baada ya vikundi vilivyopatiwa mikopo wanachama wake kuwa na umri wa utu uzima huku...
9 years ago
StarTV21 Aug
Mgombea CUF adai kutekwa, kuporwa fomu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kadam-20August2015.jpg)
Mgombea ubunge wa Chama cha Wananchi (CUF) amedai kutekwa, kutishwa na kuporwa fomu za kugombea katika jimbo la Shaurimoyo, Unguja.
Mgombea huyo, Abdi Seif Hamad, alidai kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 17, mwaka huu majira ya asubuhi katika maeneo ya jimbo hilo. Alidai kuwa akiwa maeneo hayo wakati akitafuta wadhamini, ghafla kikatokea kikundi cha watu wapatao wanane wakiwa wamejifunika nyuso na kumteka,...
9 years ago
Bongo Movies04 Sep
Utata waibuka Baada ya Wolper Kuvishwa Pete
Baada ya hivi majuzi staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ‘Jacqueline Lowassa’ kuwepa picha mtandaoni akivishwa pete na mchamba wake,siku ya jana kumeibuka habari za udaku sambamba na picha zikimuonyesha jamaa huyo aliyemchumbia Wolper akiwa kwenye kwenye vazi la harusi na mwanamke ambaye inasemekana ni mkeo.
Habari hizo ambazo hazijathibitishwa na jamaa huyo wala Wolper zinadai kuwa jamaa ni mme wa mtu wa ndoa ya mwaka 2014 nchini Congo na kwa sasa mkeo yupo nchini humo akiwa hana...
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Mbowe ahukumiwa, utata wa sifa ya kugombea waibuka
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Utata mpya waibuka mauaji ya askari Kinapa