WAZIRI SAMIA SULUHU HASSAN ABAINISHA UMUHIMU WA ZIWA TANGANYIKA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano),Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa pili kulia) akihutubia Mkutano wa Mawaziri na Wadau wa Ziwa Tanganyika. Mhe Waziri Samia amezishauri nchi Wanachama zilizo katika Bonde la Ziwa Tanganyika kuunganisha nguvu zao kulinda Ziwa Tanganyika kwa manufaa ya kiuchumi na kiusalama ya nchi hizo. Kikao cha Wadau wa Ziwa Tanganyika kimefanyika leo Bujumbura katika Hoteli ya Ziwa Tanganyika.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yJgQwAb2-4Y/U5JZCSmqU-I/AAAAAAAFoOI/sz1j-hd8_lU/s72-c/unnamed+(11).jpg)
waziri samia suluhu hassan atembelea ofisi za idhaa ya kiswahili Radio DW mjini Bonn
![](http://3.bp.blogspot.com/-yJgQwAb2-4Y/U5JZCSmqU-I/AAAAAAAFoOI/sz1j-hd8_lU/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o05uKo8WLjA/U5JZFuWMquI/AAAAAAAFoOQ/KhKezzYEYTM/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MpO3vLEST14/U5JZHB29RUI/AAAAAAAFoOY/x-2sthb351E/s1600/unnamed+(9).jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, amkaribisha Waziri wake Makamba ofisini, akutana na kuzungumza na mabalozi
![](http://1.bp.blogspot.com/-0zPnXxsfvYU/Vm7A5Df830I/AAAAAAACm1w/iiSNwL5lvqI/s640/3.jpg)
![4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/41.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cKkD7lvX_6o/Vm7BDefgSyI/AAAAAAACm14/sXldeClZOI8/s640/5.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira,...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MUUNGANO SAMIA SULUHU HASSAN ATOA WITO WA KUTUNZA MALI ASILI NA MAZINGIRA
10 years ago
A Tough Journey From Activism To Politics18 Sep
Samia Suluhu Hassan
AllAfrica.com
And yet, 14 years down the lane she has risen through the ranks to become the Vice-Chairperson of the ongoing Constituent Assembly in Dodoma. In addition, the soft-spoken activist turned politician is the Minister of State in the Vice-President's Office, ...
9 years ago
Vijimambo30 Oct
Historia ya bi Samia Suluhu Hassan
![](http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/12/150712161831_bi_samia_suluhu_hassan_ni_mtanzania_mwenye_asili_ya_zanzibar_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Ushindi wa John Pombe Magufuli wa CCM umetoa fursa kwa bi Samia Suluhu Hassani kuhudumia taifa hilo la Afrika Mashariki kama mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa rais wa Tanzania.
Lakini bi Samia ni nani?
Tangu kongamano la Chama tawala nchini Tanzania CCM kumteua Daktari John Pombe Magufuli Joseph kuwa mshika bendera wa CCM , Chama hicho kiliweka historia pia kwa kumteua bi Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza.
Tangu Dodoma Bi Samia aliwekwa...
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Huyu hapa Samia Hassan Suluhu
JANA, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Joseph Magufuli alimtangaza Mbunge wa Makunduchi, mama Samia Hassan Suluhu kuwa mgombea wake mwenza, ikiwa na maana kwamba ni yeye ndiye atakayekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania iwapo chama hicho kitashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Ikiwa hivyo, Samia atakuwa mwanamke wa kwanza Tanzania kukamata nafasi hiyo kubwa katika moja ya mihimili ya dola, serikali, akiwa ni mshauri mkuu wa Rais na namba mbili kwa uongozi...
9 years ago
Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)14 Nov
Samia Suluhu Hassan, Perfect Magufuli aide
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
DESPITE being a hardworking leader, driven by passion to lead the nation driven by integrity, development, and defined systems…the factors that gave Dr John Pombe Magufuli's recent victory into power was also accorded by his decision to nominate a ...
9 years ago
StarTV30 Oct
Dk. Magufuli, Samia Suluhu Hassan wakabidhiwa vyeti
Rais Mteule wa awamu ya tano Dokta John Pombe Magufuli na makamu wake Samia Suluhu Hassan wamekabidhiwa vyeti vya ushindi wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hatua hiyo ni uthibitisho wa kuwa viongozi wakuu wa Taifa la Tanzania kwa mwaka 2015/2020.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini NEC inatumia ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam kukabidhi vyeti vya ushindi wa urais baada ya kukamilika kwa zoezi la uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015.
Mwenyekiti wa NEC Jaji mstaafu...
9 years ago
StarTV25 Aug
Samia Suluhu Hassan aanza kumnadi Magufuli Same
Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kampeni za kumnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dokta John Pombe Magufuli na kueleza Ilani ya Chama hicho.
Mkutano wa kwanza wa mgombea huyo mwenza umeanzia katika Kijiji cha Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro ambapo wakazi wa kijiji hicho wamemweleza mgombea huyo tatizo la maji linalowakabili.
Samia Suluhu Hassan ameanza kampeni zake kwa kutembelea Hospitali ya Hedaru na kuangalia changamoto kwenye...