waziri samia suluhu hassan atembelea ofisi za idhaa ya kiswahili Radio DW mjini Bonn
![](http://3.bp.blogspot.com/-yJgQwAb2-4Y/U5JZCSmqU-I/AAAAAAAFoOI/sz1j-hd8_lU/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa ziara yake katika makao makuu ya DW Swahili Radio mjini Bonn
Mkurugenzi msaidizi idara ya Mazingira katika Ofisi ya Mkamu wa Rais Bw. Richard Muyungi katika Mahojiano na Mtangazaji wa DW Radio Bw. Sudi Mnete kuhusu kilimo rafiki na mazingira na mkutano wa makataba wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea mjini Bonn.
Mh. Samia Suluhu Hassan aliyekaa, akiwa na mtangazaji wa Radio DW idhaa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MUUNGANO SAMIA SULUHU HASSAN ATOA WITO WA KUTUNZA MALI ASILI NA MAZINGIRA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-o22suILDgag/VZGfnyvBRQI/AAAAAAAHlwI/SlKPmpp3EY0/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA IDHAA YA KISWAHILI YA RADIO DEUTSCHE WELLE
![](http://4.bp.blogspot.com/-o22suILDgag/VZGfnyvBRQI/AAAAAAAHlwI/SlKPmpp3EY0/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI SAMIA SULUHU HASSAN ABAINISHA UMUHIMU WA ZIWA TANGANYIKA
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, amkaribisha Waziri wake Makamba ofisini, akutana na kuzungumza na mabalozi
![](http://1.bp.blogspot.com/-0zPnXxsfvYU/Vm7A5Df830I/AAAAAAACm1w/iiSNwL5lvqI/s640/3.jpg)
![4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/41.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cKkD7lvX_6o/Vm7BDefgSyI/AAAAAAACm14/sXldeClZOI8/s640/5.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
10 years ago
A Tough Journey From Activism To Politics18 Sep
Samia Suluhu Hassan
AllAfrica.com
And yet, 14 years down the lane she has risen through the ranks to become the Vice-Chairperson of the ongoing Constituent Assembly in Dodoma. In addition, the soft-spoken activist turned politician is the Minister of State in the Vice-President's Office, ...
9 years ago
Vijimambo30 Oct
Historia ya bi Samia Suluhu Hassan
![](http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/12/150712161831_bi_samia_suluhu_hassan_ni_mtanzania_mwenye_asili_ya_zanzibar_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Ushindi wa John Pombe Magufuli wa CCM umetoa fursa kwa bi Samia Suluhu Hassani kuhudumia taifa hilo la Afrika Mashariki kama mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa rais wa Tanzania.
Lakini bi Samia ni nani?
Tangu kongamano la Chama tawala nchini Tanzania CCM kumteua Daktari John Pombe Magufuli Joseph kuwa mshika bendera wa CCM , Chama hicho kiliweka historia pia kwa kumteua bi Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza.
Tangu Dodoma Bi Samia aliwekwa...
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Huyu hapa Samia Hassan Suluhu
JANA, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Joseph Magufuli alimtangaza Mbunge wa Makunduchi, mama Samia Hassan Suluhu kuwa mgombea wake mwenza, ikiwa na maana kwamba ni yeye ndiye atakayekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania iwapo chama hicho kitashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Ikiwa hivyo, Samia atakuwa mwanamke wa kwanza Tanzania kukamata nafasi hiyo kubwa katika moja ya mihimili ya dola, serikali, akiwa ni mshauri mkuu wa Rais na namba mbili kwa uongozi...
9 years ago
Michuzi05 Nov